Aliekua mbunge wa segerea kupitia chama cha mapinduzi ndug makongoro mahanga ivi juzi ameonekana akimnadi mgombea kiti cha diwani Kata ya kinyerezi jimbo la segerea sambamba na mgombea ubunge ndugu Mtatiro.
Katika hotuba yake iliochukua muda wa dakika 9 mahanga alitumia kuainisha madudu na...
Wafuasi wa Ukawa ni vituko show.. yaani wanataka kila mtu awe zezeta kama wao. Diamond mlianza kusema eti kajimaliza atununui kazi zake kama hawa mnanunuaga vile!!?
Kama fid q unaamini ni mtu makini heshimu mawazo yake..
#Toroka uje
Mange kimambi na Humphrey polepole ni watu makini sana.. wanasema kweli na kweli.inauma kwa wana ukawa kwa upande wenu...
Lowasa mgonjwa hili sio kweli!!?
Lowasa geita aliji....a hili je!?
Lowasa mdini, hata hili unahitaji prove!!?
Lowasa hafai na mambe yupo right...
#Mtanyooka
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.