Recent content by mkurya mmoja

  1. M

    GE2015 Magufuli lugha za Kimataifa ni Kizungumkuti, wenye ufahamu tujadiliane

    Hawa wadhungu nadhani alikua anaongea nao kisukuma
  2. M

    Milton makongoro mahanga amchafulia mtatiro segerea.

    Aliekua mbunge wa segerea kupitia chama cha mapinduzi ndug makongoro mahanga ivi juzi ameonekana akimnadi mgombea kiti cha diwani Kata ya kinyerezi jimbo la segerea sambamba na mgombea ubunge ndugu Mtatiro. Katika hotuba yake iliochukua muda wa dakika 9 mahanga alitumia kuainisha madudu na...
  3. M

    Sophia Simba akiwa na rais Kikwete Marekani muda mchache kabla ya kikao cha UN

    Ccm mpango mzima.. maukawa yanahaha na propaganda nyepesi
  4. M

    Juma Nyoso anahitaji msaada wa kitaalamu haraka

    True aiseee.. jamaa sio tu anadharirisha wachezaji wenzake bali anajidharirisha hata yeye pia
  5. M

    Mwaka 2010 Tulifanya Ujinga, Mwaka Huu Tusifanye Tena Ujinga Ule!

    Sisi wajinga ndio na ujinga wetu hatutomchagua mgombea mwizi, fisadi na mdini kama lowasa... NITACHAGUA mwadilifu....
  6. M

    Mikakati chafu ya ccm kwa waalimu wasaliti leo dodoma:

    Kwani alikwambia waalimu ni wapinzani nani!!?
  7. M

    Hadi Fid Q? Nimebaki kuduwaa

    Wafuasi wa Ukawa ni vituko show.. yaani wanataka kila mtu awe zezeta kama wao. Diamond mlianza kusema eti kajimaliza atununui kazi zake kama hawa mnanunuaga vile!!? Kama fid q unaamini ni mtu makini heshimu mawazo yake.. #Toroka uje
  8. M

    Je, ni ujumbe gani unaupata unapoziangalia picha hizi mbili?

    Hakika mkuu...pia watanzania tulio wengi ni washangaaji lakini siku ya kupiga kura siri ni zao.. Time will tell 25 october
  9. M

    Mange, you don't look good by making others look bad, jitathmini!

    Mange kimambi na Humphrey polepole ni watu makini sana.. wanasema kweli na kweli.inauma kwa wana ukawa kwa upande wenu... Lowasa mgonjwa hili sio kweli!!? Lowasa geita aliji....a hili je!? Lowasa mdini, hata hili unahitaji prove!!? Lowasa hafai na mambe yupo right... #Mtanyooka
  10. M

    Yaliyojiri: Mkutano wa Mgombea wa CHADEMA, Lowassa uwanja wa Diesel, Newala-Septemba 21, 2015

    Wamekuja kishangaa chopa ila kura kwa Magufuli#hapakaziTu
Back
Top Bottom