Kuna walimu 100 wameitwa Dodoma Leo kwa batch ya 50@!wamepewa maelekezo ya kuidis ukawa kama ifuatavyo:
1:kuhakikisha Ccm inapata ushindi kwa kuwashawishi walimu wenzao kuipigia kura ccm .
2:Kuhakikisha walimu wana kuwa mawakala wa Ccm kwenye vituo vya kupigia kura.
3:Kuwafahamu mawakala wa cdm na kuwarubuni kuuza vituo.
4:Kuzunguka nchi nzima naa kutambua eneo ambalo lina nguvu ya upinzani(cdm).
Walimu hawa Leo wameondoka Dodoma kuelekea mikoani (Leo 50)na kesho wengine 50.
Ndugu zangu walimu hawa wamehaidiwa kupata vyeo pindi Ccm ikiingia madarakani.na wamepewa hela za kutosha.Aliendaa semina hii ni mke wa Mangula!! Ninalosema hili Nina uhakika aslimia 100.Nawaombeni mkiwaona wana kuja huko mitaani waelezwe ukweli maana wamesaliti umoja wa walimu nchini!!
Walimu hao wamedhihirisha unyonge wetu na wako tayari kuuza nchi kwa ajili ya Ccm!!Sambaza ujumbe kwa kila mwalimu Tanzania ili kila mwalimu ajue walimu wameshiriki kuharibu Tanzania!! Kila mwanafunzi ajue jinsi gani walimu walivyoisaliti nchi yao!!
1:kuhakikisha Ccm inapata ushindi kwa kuwashawishi walimu wenzao kuipigia kura ccm .
2:Kuhakikisha walimu wana kuwa mawakala wa Ccm kwenye vituo vya kupigia kura.
3:Kuwafahamu mawakala wa cdm na kuwarubuni kuuza vituo.
4:Kuzunguka nchi nzima naa kutambua eneo ambalo lina nguvu ya upinzani(cdm).
Walimu hawa Leo wameondoka Dodoma kuelekea mikoani (Leo 50)na kesho wengine 50.
Ndugu zangu walimu hawa wamehaidiwa kupata vyeo pindi Ccm ikiingia madarakani.na wamepewa hela za kutosha.Aliendaa semina hii ni mke wa Mangula!! Ninalosema hili Nina uhakika aslimia 100.Nawaombeni mkiwaona wana kuja huko mitaani waelezwe ukweli maana wamesaliti umoja wa walimu nchini!!
Walimu hao wamedhihirisha unyonge wetu na wako tayari kuuza nchi kwa ajili ya Ccm!!Sambaza ujumbe kwa kila mwalimu Tanzania ili kila mwalimu ajue walimu wameshiriki kuharibu Tanzania!! Kila mwanafunzi ajue jinsi gani walimu walivyoisaliti nchi yao!!