Habari zenu?Binafsi sijakamilisha Bado kwa sababu ya ile sehemu ya kuambatanisha nyaraka za chuo!Nauliza tu endapo pdf zangu hazijafika 2MB inaweza ikaniletea shida ya kukosa sifa ya kuchaguliwa?(Kwa kuwa mafaili yote niliyotuma mpaka Sasa Ni chini ya 2 MB)!Ni hayo tu wadau
Walimu wa Sanaa tuendelee tu kufanya shughuli zetu za kihalali maisha yanaendelea Kama kawaida Ila utofauti Ni kuwa mfumo bado unakataa kutupokea!Siku ukikubali sawa Ila kwa Sasa tusiweke mawazo huko!Na nyie wa sayansi mkipata fursa muitumie vizuri huko serikalini
Mi Nauliza tu jamani! Samahanini kwanza!Sina uzoefu wa haya mambo!Hv Kuna uhusiano wa msichana bikira na matiti yake!Namaanisha matiti yake yanakuwa magumu ama malaini ukiyashika!?Ni Hilo tu!Msaada tafadhali!
Samahani wakuu!Nami nimeona niulize hapahapa!Kuna rafiki yangu nae amechaguliwa SUA kozi ya BSc Environmental Science and Management!!Ipoje kozi hii(ngumu Sana ama wastani tu)na kazi zake inakuwaje (Baada ya kuhitimu)?
Siku ya Leo bhana!Ni nzuri pale ambapo ndugu yako kaongoza kitaifa katika mchepuo husika nawe umepangiwa shule ya kufundisha na serikali!Mpitie tovuti ya tamisemi mjiangalie majina yenu Kama yapo!!
Samahani mleta mada!Unaweza kufafanua vigezo vya kufundisha International school!?Binafsi nilisomea shahada ya ualimu Ila kwa Sasa ninafundisha English Medium School!! changamoto zipo lakini changamoto zinatofautiana kutokana na level husika! Binafsi sikuwaza kwamba ninaweza kuja kufundisha...
Dah!Mkuu Zangambadume ni fact unayosema!Binfsi ni RAIA tu na ningependa kila mzalendo aweze kuifikiria nchi yetu miaka 50 inayokuja!MUNGU IBARIKI TANZANIA NA UWAONDOLEE UBINAFSI
So kwa mujibu wa maelezo yako tumebanwa kotekote si timu pinzani wala timu mshindi!kotekote wamekaba.Mleta mada sio siri unanikumbusha ule waraka wa marehemu Mtikila!
Kuwe na mfumo wa chama kimoja tu mana tunachanganyana tu!!Ila ndo hivyo ukiwa tegemezi huwezi kuamua hivyo!Mfano Mchina yuko na chama kimoja tu Mwamerika mbona hamsumbui kuwa anaminya demokrasia!Hahaaaa hii ndo dunia bhana!!
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.