Akuna kozi mbaya wala nzuri nendeni mkasome kozi mnazopenda asiwatishe mtu na hakuna kozi ya msichana au mvulana tatzo watu wamekariri kuwa ukiwa maskini usome ualimu hii siyo kweli kabisa
Ciku akifa itakuaje jaribu kuwa independent ata kdogo baci mwenyewe atakua anakushangaa tu wasubiri mda wote wakati daladala, tax,bajaji,bodaboda,zimejaa tele
kila mtu kiukweli anachukizwa sana na hii tabia ambayo imeota mizizi katka jamii yetu.Hawa wenzetu nashndwa kuelewa nini kina wasibu ni changamoto kweli kweli unakutakata na mkaka au jibaba hilo limechomekea vizuri ,mwli umeumbika vema wa kiume lakini maskini ya mungu kumbe bwabwa tumrudie...
Nakubaliana nawe mkuu alafu samahani ni Mkuru na si mkura najua ni typing error tu lakin nilikua najaribu tu kumpa mawazo tofauti kama ulivochangia mwenzangu yeye ndo mwenye pesa mwsho wa ciku mwamzi mkuu ni yeye lakn akhasante tupo pamoja
Tofauti ipo kubwa sana kwani pickup ulikua unasubiri mzigo lakini bajaji tofauti yake ni kuwa ni kama daladala na wateja wengi sana cku izi bodaboda na tax zimekuwa overtaken na bajaji.
Watu mjini wanapendelea bajai sana kwani bei yake ni ndogo kwa abiria ukilinganisha na tax biashara ya...
Cjui upo wapi ndugu but tafiti bajaji kwa ulipo inauzwaje fany cost and benefit analysis kwa hela yako inaweza tosha ukipewa elfu 90 kwa wiki ci haba mkuu ni hayo tu kwa uzoefu wangu
Ukizungumzia kizazi cha tano cha muziki wa kongo uwezi kuacha kuwazungumzia vijana japo kila mmoja ana ubora wake fally anatisha kwa kutawala jukwaa na kuimba vile japo felle anatsha kwa kuimba lakini bado kuteka jukwaa
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.