Je Sasa Ni Rasmi JK kamtosa Membe? Tusubiri A Surprise Candidate wa CCM?

Rais MWANAMKE Tanzania at least bado for now...Hii nafasi ya Spika...ni nafasi kubwa mno kushkwa na MWANAMKE ..tutaifanyia kwanza Tathmini..kuamua Kama tuwape Nchi...tutaangaliaa uongozi wa Joyce Banda..na Hellen Sirleef ..na utamaduni wetu hasa mfumo dume...namna ya kuutokkomeza...kabla ya kuamua..pia tutaangalia

Kimataifa tumukuwa na asha rose migiro na Getrude Mongella ...tutaangalia uendaji wao....pia tutaangalia Kama wanawake wapo tayari kuwaamini wenzao


Ni kweli mkuu bado saana lakini Kikwete anaona ndio salama kwake ili kuepusha vita- akimuunga mkono Lowasa ujue Membe na kina Sita wataleta tafrani sana na vile vile akimuunga Membe,timu ya Lowasa itavuruga-kwa ufupi unafiki wa jeykey ndio unamtafuna na hakuna kipindi kigumu kama 2015 kwa CCM kuchagua mgombea wa uraisi!!
 
Mwenendo wa kuelekea mwaka 2015 unaanza kujionesha ...Historia ya Nchi Hii imeonyesha wazi kuwa hakuna Rais aliyeweza Kuweka Rais amtakaye akiwa madarakani ...ni Jambo la kujivunia hili....Mwalimu alishindwa ataweza nani ??
Mwalimu alimtaka Sokoine amridhi ( akafariki) akamtaka Salim ( wahafidhina wakamzunguka ..hata Baada ya kuwa amempanga Mwinyi kukataa uteuzi)
Mwinyi ...hakufanikiwa kuweka Rais aliyemtaka mwaka 1995....na safari Hiyo aliyekuwa na karata ni Mwalimu.......hata Mkapa ikibidi afanye u turn mwisho kukubali Kikwete ....hasa kwenye ile hotuba yake ....aliposema.." Sasa ni Zamu ya rika jipya..." Ni wazi alikuwa anaonyesha kuelekeza nani apite...

Kikwete ambaye anaeleweka ni bingwa wa Siasa Za mikakati .....anaelekea hataki kufanya makosa ya watangulizi wake...ni wazi kwa namna Fulani Sasa anajitenga na marafiki zake ...wa mtandao....Alianza kumweka Mbali Lowassa...jambo ambalo ..Membe lilionekana kumpa Nguvu kubwa na kujiendelea kuwa karibu na familia Kuu akifikiri wameshika ticket.......mwelekeo wa Mwezi mmoja uliopita ...UKianza..
1 . Kumkana Membe na Kauli zake Za EAC na coalition of the willing ...na kutoa Kauli mpya iliyoonesha kuwa Membe ni waziri anayetoaa misimamo ya Nchi bila kufikiri,kushirikisha ...Rais au baraza...ilikuwa pia aibu mkizingatia Kauli Za hapo nyuma Juu ya Malawi
2. Jana pale uwanjani aliongelea ...onyo kwa mtu yeyote anayegombea kwa nia ya kulipizaa kisasa ( ni wazi mgombea aliyetoa Kauli ya Kisasi ni Membe peke yake ......aliposema anao " MAADII KUMI NA MOJA" ambao waombe asioteshwe( urais) ..watahama Nchi...

Maneno yote haya yapo na yalinakiliwa na vyombo Vya habari tv ,magazeti na mitandao....

NI WAZI KUWA SASA RAIS ATAMPA UGOMBEA RAIS ATAKAYEPITISHWA NA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPUNDUZI......WANAOGOMBEA KWA KUTEGEMEA KUJIPENDEKEZA KWA RAIS ..MKEWE AU FAMILIA KWA UJUMLA LWA KIGEZO CHOCHOTE WAJUWE SASA KIKWETE HANA UWEZO WA KUTOA MGOMBEA...KAMA AMBAVYO WAGOMBEA WALIOPIGIWA CHAPIO NA MARAIS WOTE WALIOTANGULIA WALIKATALIWA...NA HATA SASA ...KUWA KARIBU NA RAIS HAITAKIWA SIFA BALI NI DISQUALIFICATION....
WAGOMBEA AMBAO WAMESHAGUNDUA KUWA RAIS HANA FUNGUO NA WANAJIWEKA NA WANANCHI AU WANACHAMA....NDIO WATAKAOKUWA NA NAFASI KUBWA ..NAONA KAMA WATATU HIVI ..HADI SASA....UKITOA HUYO MMOJA AMBAYE AMEKUWA KWENYE KWAPA LA FIRST FAMILY....

HONGERA KIWETE KWA KUGUNDUA MAPEMA KUWA HUTAWEZA KUMWEKA RAIS ...UMEJIWEKA HURU.... Na hongera kwa kutoa onyo dhidi ya kisasi ..hili hata Nyerere akiwaonya wazambia..hawakusikia Leo Hii kila Rais anayestaafu Huko lazima afungwe na mrithi wake ...Sasa hivi Rupiah Banda kampokea Marehemu Chiluba ufungwa .......

Back to school, inaelekea English composition au fasihi ya kiswahili na vipindi vinginevyo vinavyotufunza mashuleni namna ya kuandika tung0 we ulikuwa unalala usingizi kama Steven Wasira afanyavyo bungeni bungeni.
 
Mnajisumbua bure the suprise candidate wa CCM 2015 ni Stephen Wassira. Hizi taarifa nyeti.

Naona MWIGULU NCHEMBA naye anayo nafsi ya urais...lakini real issue hapa ni kwamba taasisi ya urais imepoteza kabisa maana yake. kwa kuwa tumepoteza kabisa maadili, hatuna itikadi, tumebaki sasa kuulenga urais tu, kama njia ya kupata mamlaka ya kutengeneza ulaji. kila mtu anataka urais. kana kwamba urais ni mchezo fulani hivi.

URAIS NI UTUMWA! haupo tena huru. wewe umejitoa uhai wako na maisha yako yote kwa ajili ya kutumikia nchi. YOU ARE THE NUMBER ONE SLAVE OF THE NATION. THE WHOLE NATION IS UNDER YOUR WATCH. 24/7. na rais siriasi kwa kweli wala hana raha. muda woote anapambana na majukumu na matatizo. inashangaza sana jinsi urais ulivyokuwa dili.
 
Jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la Pembeni!
Semeni yote!, tajeni wote!, Rais wa Tanzania 2015 ni "the one and only!"
yule ambaye jina lake limeandikwa na Mungu katika kitabu cha marais wa dunia hii!
Na huyo sii mwingine bali ni ....
Pasco
 
Jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la Pembeni!
Semeni yote!, tajeni wote!, Rais wa Tanzania 2015 ni "the one and only!"
yule ambaye jina lake limeandikwa na Mungu katika kitabu cha marais wa dunia hii!
Na huyo sii mwingine bali ni ....
Pasco

leo ungefaa kuchinjwa kwa kumshikisha Mungu katika kazi chafu hii
 
Tulitegemea labda Waziri mkuu Pinda angeleta ushindani mkubwa wa kuamua nani awe rais wa Tanzania. Lakini matarajio ya wachache yamekwisha kwa lumumba. Waliochanganyikiwa ndani lumumba ambao matumaini yao yalikuwa kwa fisadi lowasa wamekosa matumaini kabisa maana walikuwa wamesahau kuwa rais wa Tanzania hajawahi kutoka kwenye kundi la watanzania wa kawaida (mf mkulima, mfugaji nk) kama alivyo lowasa ni mfugaji fisadi.

Nafikiri ni busara walau rais akamtimua kazi Pinda na amweke waziri mkuu ambaye baadaye 2015 ataleta changamoto kwa CDM. CDM wanataka mgombea ambaye ataleta changamoto kipindi cha uchaguzi ujao. Maana kwa CDM mapambano ni hadi kieleweke. Na urais ni kwa CDM taka usitake.

Hivyo ninamsihi mhe Rais Kikwete amteue waziri mkuu imara ndani ya Baraza lake la mawaziri au miongoni mwa Wabunge wake ambaye walau atasimamia utendaji serikalini. Wapo wachache ambao walau wana uwezo wakipewa nafasi.

Mfano: Dr. Harrison Mwakyembe. Hatumfahamu vizuri lakini anauwezo mkubwa sana wa kuwa Waziri mkuu na hata kuwa rais.
au Dr John P. Magufuli. Huyu nafasi ya uwaziri mkuu anaimudu sana tatizo kwake ni urais hawezi. Si mbaya sana hata kwa nafasi hiyo tu.

Tunaamini Rais atatumia busara kuliko kuacha nchi kwa manyang'awu kama lowasa wanaohonga na kurubuni kila mara mtaani, makanisani na misikitini. Hila za namna hii ni ya hatari sana kwa mstakabali wa nchi yetu. Kutafuta urais kwa gharama yoyote ni jambo la hatari kweli. Mungu tuepushe na laana hii.

Pinda is another headache....alichagua kwenda kwenye graduation ya binti yake Siku ambayo bunge lilitakiwa kutoa Azimio Juu ya Msiba wa Mandela na kusababisha bunge kubakia na MAWAZIRI wanne.......,MAWAZIRI wengine walichagua kwenda Moro au Mikoa mingine kula "raha"
 
Pinda is another headache....alichagua kwenda kwenye graduation ya binti yake Siku ambayo bunge lilitakiwa kutoa Azimio Juu ya Msiba wa Mandela na kusababisha bunge kubakia na MAWAZIRI wanne.......,MAWAZIRI wengine walichagua kwenda Moro au Mikoa mingine kula "raha"

Travelling ndio habari ya mujini mkuu!!!!!
 
Back to school, inaelekea English composition au fasihi ya kiswahili na vipindi vinginevyo vinavyotufunza mashuleni namna ya kuandika tung0 we ulikuwa unalala usingizi kama Steven Wasira afanyavyo bungeni bungeni.

Candid Scope inawezekana umenizidii Elimu ..Kama uwazo degree Zaidi ya nne.....lakini kikubwa sio Elimu...ni busara hapa...tusiamini Sana hivi vyeti especially Elimu yetu Hii ya mitihani......
Hoja iPo mzani jadili ...Sasa hapo umejadili nini ?
 
Jiwe walilolikataa waashi litafanywa kuwa jiwe kuu la Pembeni!
Semeni yote!, tajeni wote!, Rais wa Tanzania 2015 ni "the one and only!"
yule ambaye jina lake limeandikwa na Mungu katika kitabu cha marais wa dunia hii!
Na huyo sii mwingine bali ni ....
Pasco


Pasco sasa unapotoka na kuleta umajununi,kitabu kipi hicho kilichoandikwa na Mungu??! Kikwete nae aliandikwa humo??!!

No wonder hujamalizia kumuandika Jina kwa ulivyo na ghiliba kwani upo kote kote!! Kwa jiwe lako la uashi,haitotokea akaja CHADEMA akakubalika kugombea uraisi,labda afanye endorsement ndani ya CCM au CHADEMA!!
 
Candid Scope inawezekana umenizidii Elimu ..Kama uwazo degree Zaidi ya nne.....lakini kikubwa sio Elimu...ni busara hapa...tusiamini Sana hivi vyeti especially Elimu yetu Hii ya mitihani......
Hoja iPo mzani jadili ...Sasa hapo umejadili nini ?

Ignorance of the learned mkuu!!!!!
Civilized stigmatization!!!!!!

Atajifunza kwa mazingira tu
 
Mwenendo wa kuelekea mwaka 2015 unaanza kujionesha ...Historia ya Nchi Hii imeonyesha wazi kuwa hakuna Rais aliyeweza Kuweka Rais amtakaye akiwa madarakani ...ni Jambo la kujivunia hili....Mwalimu alishindwa ataweza nani ??
Mwalimu alimtaka Sokoine amridhi ( akafariki) akamtaka Salim ( wahafidhina wakamzunguka ..hata Baada ya kuwa amempanga Mwinyi kukataa uteuzi)
Mwinyi ...hakufanikiwa kuweka Rais aliyemtaka mwaka 1995....na safari Hiyo aliyekuwa na karata ni Mwalimu.......hata Mkapa ikibidi afanye u turn mwisho kukubali Kikwete ....hasa kwenye ile hotuba yake ....aliposema.." Sasa ni Zamu ya rika jipya..." Ni wazi alikuwa anaonyesha kuelekeza nani apite...

Kikwete ambaye anaeleweka ni bingwa wa Siasa Za mikakati .....anaelekea hataki kufanya makosa ya watangulizi wake...ni wazi kwa namna Fulani Sasa anajitenga na marafiki zake ...wa mtandao....Alianza kumweka Mbali Lowassa...jambo ambalo ..Membe lilionekana kumpa Nguvu kubwa na kujiendelea kuwa karibu na familia Kuu akifikiri wameshika ticket.......mwelekeo wa Mwezi mmoja uliopita ...UKianza..
1 . Kumkana Membe na Kauli zake Za EAC na coalition of the willing ...na kutoa Kauli mpya iliyoonesha kuwa Membe ni waziri anayetoaa misimamo ya Nchi bila kufikiri,kushirikisha ...Rais au baraza...ilikuwa pia aibu mkizingatia Kauli Za hapo nyuma Juu ya Malawi
2. Jana pale uwanjani aliongelea ...onyo kwa mtu yeyote anayegombea kwa nia ya kulipizaa kisasa ( ni wazi mgombea aliyetoa Kauli ya Kisasi ni Membe peke yake ......aliposema anao " MAADII KUMI NA MOJA" ambao waombe asioteshwe( urais) ..watahama Nchi...

Maneno yote haya yapo na yalinakiliwa na vyombo Vya habari tv ,magazeti na mitandao....

NI WAZI KUWA SASA RAIS ATAMPA UGOMBEA RAIS ATAKAYEPITISHWA NA WANACHAMA WA CHAMA CHA MAPUNDUZI......WANAOGOMBEA KWA KUTEGEMEA KUJIPENDEKEZA KWA RAIS ..MKEWE AU FAMILIA KWA UJUMLA LWA KIGEZO CHOCHOTE WAJUWE SASA KIKWETE HANA UWEZO WA KUTOA MGOMBEA...KAMA AMBAVYO WAGOMBEA WALIOPIGIWA CHAPIO NA MARAIS WOTE WALIOTANGULIA WALIKATALIWA...NA HATA SASA ...KUWA KARIBU NA RAIS HAITAKIWA SIFA BALI NI DISQUALIFICATION....
WAGOMBEA AMBAO WAMESHAGUNDUA KUWA RAIS HANA FUNGUO NA WANAJIWEKA NA WANANCHI AU WANACHAMA....NDIO WATAKAOKUWA NA NAFASI KUBWA ..NAONA KAMA WATATU HIVI ..HADI SASA....UKITOA HUYO MMOJA AMBAYE AMEKUWA KWENYE KWAPA LA FIRST FAMILY....

HONGERA KIWETE KWA KUGUNDUA MAPEMA KUWA HUTAWEZA KUMWEKA RAIS ...UMEJIWEKA HURU.... Na hongera kwa kutoa onyo dhidi ya kisasi ..hili hata Nyerere akiwaonya wazambia..hawakusikia Leo Hii kila Rais anayestaafu Huko lazima afungwe na mrithi wake ...Sasa hivi Rupiah Banda kampokea Marehemu Chiluba ufungwa .......

Matumizi ya herufi kubwa na ndogo katika post hii yanakaribisha fikra kwamba mwandishi alishachoshwa na umande katika jitihada zake za awali za kufuta ujinga.

Kadhalika kichwa cha habari kinauliza swali lakini habari aliyoiandika haina swali na badala yake inampongeza JK. Shule shule shule!!
 
visasi mbona vingi tu vya kulipiza.

unakumbuka issue ya RICHMOND.

HALAFU ,VIP KUHUSU BABU SEYA MBONA UNATOA KIBANZI CHA MWENZIO WAKATI KWAKO NI BORITI??

JK HATUKUELEWI.
 
4 Reactions
Reply
Back
Top Bottom