Recent content by Mkumbo Health

  1. Mkumbo Health

    Mrejesho; Nishaurini kabla sijanunua mbuzi kwenye gunia

    Kabla sijakushauri nataka kujua kwanza umri wako mkuu, Kama hutojali
  2. Mkumbo Health

    Ni wapi nitapata official Sumsung phone delers kwa DAR

    Bado sijanunua mkuu nilipata kuliona tu duka hapo jana jioni na walishafunga.
  3. Mkumbo Health

    Ni wapi nitapata official Sumsung phone delers kwa DAR

    Asante Chief. Linaitwaje hilo duka ntajaribu kukomaa nao wapunguze bei
  4. Mkumbo Health

    Kwanini Police kanda ya Dar wanatumia email account ya Google (CIA) wakati kuna servers za bure za serikali? Kuna usiri wa taarifa kweli hapa?

    Kiukweli mimi kama una biashara kubwa au taasisi, na na ukanipa busines card yenye email yako ya gmail sjui yahoo ntakudharau sana na sitakuchukulia serious
  5. Mkumbo Health

    Pwani: Madiwani saba kutoka upinzani wahamia CCM

    Hata nyeupe mkuu. Sema mapungufu yetu yanatofautiana tu.
  6. Mkumbo Health

    Ni wapi nitapata official Sumsung phone delers kwa DAR

    Wadau wa greater thinker habari zenu. Uzi wangu upo direct sana, napenda kufahamu ni maduka gani ambayo ni official naweza kupata simu og za sumsung ikiwemo warant. Nataka j7 PRO yenye 32 HDD. Mwenye ufahamu anitajie ama nipe location nipate kuwaendea. Nb mimi siyo mdau wa simu used
  7. Mkumbo Health

    MDAHALO: Wahitimu wanaongezeka kuzidi nafasi za kazi, tutegemee kipi?

    Mimi nadhani hali ikiendelea hivi basi ubunifu utakuwa mkubwa sana na tutegee vijana kubuni mawazo makubwa ya kibiashara na kutoboa. Lakni watakuwa ni wachache wale wenye akili pana . wale wenye mindset ya kuajiriwa wataendelea kulaumu huku muda ukiwatupa mkono na mwishowe wataweza kuingia...
  8. Mkumbo Health

    Lini MOE watatoa ajira za walimu walizo tangaza mwezi wa 8?

    Mkuu anza kufikiri nje ya box, ukitegemea hizi ajira utakuwa disappointed mwishowe unapata frustration huku muda nao haukusubiri
  9. Mkumbo Health

    Chondechonde: Msioe Wanawake waliojichubua na Wanaovaa Mawigi, Mtajuta..!

    Haya mawigi nayachukia sana aisee, yaani nikiona mwanamke kavaa naweza kutapika, kuna manzi mmoja aliwah kutumia brush langu la kusugulua, akabrush hayo manywele tangu mwezi wa 4 mpaka Leo brush lina harufu ya mawigi hata nilisafishe vipi.
  10. Mkumbo Health

    Passport: Maombi ya Hati ya Kusafiri ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania

    Wadau wa jf, naamini mko wazima, swali langu ni kama hapo juu, mwenye uelewa namna ya kupata passport kwa hapa bongo natumia utaratibu gani, na pia viambatanisho, na garama zinazohitajika na approx muda gani itachukua mpaka niipate pasport
  11. Mkumbo Health

    Nataka kuacha kazi, biashara gani inalipa kutoka Tanzania kwenda Malawi na Zambia?

    Kabla hujaacha kazi nenda bookshop nunua kitabu cha Robert kiyosaki kinaitwa before quitting ua job kisome kisha utapata mwanga usiache job kizembe kabla hujapata pakushika.
  12. Mkumbo Health

    Ikifika 2025, Utajisikiaje ukijua kumbe Lissu naye ni Askari (planted)

    Wachache sana wanaweza kumwelewa huyu jamaa, unafikiri mbali sana brow
Back
Top Bottom