Machungwa kama yamezaa kwa msimu mmoja basi mavuno ni kuanzia mwezi wa tatu mpaka mwezi wa kumi na moja ila kama yamezaa Mara mbili mavuno ni Mwaka mzima, Yaani kuanzia januari mpaka desemba
Ili uwe na uhakika wa kupata mchungwa wa valencia ni bora ununue mche wa limao halafu unaupanda shambani baada ya Hapo unafanya grafting mwenyewe ila ukinunua mche wa mchungwa moja kwa moja wafanya Biashara wengi wamekua sio waaminifu, anaweza kukuuzia aina nyingine ya mchungwa akakwambia ni...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.