Ni formality tu, PPF ni wababaishaji sana, kaz zinatangazwa tyr zina watu(full vimemo), bt kwa serikali ya magufuli kiama chao kinakuja, kwanini wasifanye kama wenzao TRA & NHIF wamekipa chombo husika secretariat ya ajira...PPF na wenzenu GEPF, NSSF, LAPF kiama chenu kinakuja
Sent using Jamii...