Recent content by Mkulima Jr

  1. Mkulima Jr

    Marekani na Uingereza walifanya kosa kubwa la kimkakati kuungana na USSR dhidi ya Hitler na Ujeruman yake

    Wala hawajakosea walishafanya ujasusi wakaona ni hatari zaidi Ujerumani ingetawala ASIA yote.. maana cha moto wangekiona. We fikilia hilter angewanya nini..Waltons ni nafuu zaidi kumkabili Russia kidogo kidogo kupitia Ukrane, Poland na Finland ..kuliko kama kumuacha Ujerumani ashindee Ile vita...
  2. Mkulima Jr

    Hivi mtu na akili zako timamu unawezaje kuweka pesa utt amis

    Mimi naona sawa. Ameona hivo awekee UTT. sio jambo baya..Hilo ndio wazo lake. Ila Kuna mwengine akipata iyo million 10. Ataweza fanya biashara anayoifahamu vizuri atengeneza faida kubwa zaidi ya iyo ya UTT. Tunatofautiana mawazo. Mwingine anabahati anawatu ambao au connections sahihi ya watu...
  3. Mkulima Jr

    Nikikumbuka vita ya siku 12 kati ya Israel na Iran nacheka sana

    Israel alikuwa ashapoteza uwelekee... mifumo yake ya anga ya ulinzi.. ilikuwa inafeli...hypersonic za Iran...zinapiga miji ya Israel sehemu muhimu tena kwa usahihi... jamaa wakaona apo tukicheka...Irani atawamaliza. Iran alikuwa anampiga mdogo mdogo tuuu...kweli nimeamini waajemi sio watu...
  4. Mkulima Jr

    Umeshawahi kutana na koboko(black mamba), uliescape vipi maana huyu sio wa mchezo

    Tulikutana naye Mwanza SAUT chuo.. ilikuwa around mwaka 2011 ctasahau ilikuwa Mishale ya saa mbili ucku tumetoka kula tunaludi hostel..gafla mwezetu katushitua nyoka..kuanza kutafuta mawe..akaingia hostel yakalibu...ndani mule ndani wanawake wanapiga kelele..kishenzi.. nahisi sababu ya tiles...
  5. Mkulima Jr

    URUSI Yapiga Mrufuku Malori ya Kichina kwa kukosa Ubora

    Haina maana mkiwa best friends.. basi upokee kitu kibaya kwa rafiki yako.. urafiki ni benefits kwa kila mtu
  6. Mkulima Jr

    Jina lako JF (ID) lina maana gani na kwanini umejiita?

    Napenda sana kilimo..ingiwa kilinitenda sana kule kisarawe. Ndio maana nikajiita Mkulima JR
  7. Mkulima Jr

    Chief Godlove, Bilionea anayetafuta kuajiriwa kwa 18m/Mwezi

    Pesa anayo tayari...anatafuta nguvu yakutawala tunaita power. Watu mashuhuri wanapata ukwasi mwingi..kinachofuata ni kutafuta power yakutawala watu.
  8. Mkulima Jr

    Wakili Nassoro Katuga kuwa makini yasije kukukuta kama yaliyomkuta jaji aliyemuhukumu Sadam Hussein

    Malipo ni hapa hapa duniani. Kwa kufuata maekelezo toka juu, badala yakufuata sheria inavyosema.
  9. Mkulima Jr

    Tangulia na dereva tukutane Dodoma

    Wacha wale inchi. Watanzania bado tumelalq
  10. Mkulima Jr

    Mke wangu hapendi nishike uke wake tukiwa faragha

    Utampaa bacteria...acha usenge
  11. Mkulima Jr

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    German alikuwa hatari snaa
  12. Mkulima Jr

    Hili ni kosa la kiufundi alilofanya Adolf Hitler

    Kwa wakati ule ni sawa maana German walikuwa tishio. Sema tu strategies zilifeli. Lakini ilileta madhala makubwa sana ulaya na Asia nzima. Japo Germany alishindwa lakini ulaya na Asia hawatasahau hasala walizopata. Hata hivyo Germany alikua kundi moja na Italy na Japan, Hungary, Bulgaria...
Back
Top Bottom