Recent content by mkudugwa

  1. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Miwasho baada ya kuoga inatibika vipi?

    Hiyo ndiyo dawa mimi nilikuwa na tatizo hilo nilishauriwa hivyo, sijisigui na dodoki tatizo limeisha.
  2. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Je, pombe humfanya mtu apoteze kumbukumbu?

    Ndiyo kuna ndugu yangu alilewa, aliporudi nyumbani akanikuta sebuleni,akafunga mlango tukaongea jambo fulani asubuhi tukaonana namkumbusha wala hakumbuki kama tulionana [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  3. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Msaada: Mafao yameingia kwenye account ya mahakama ya wilaya Temeke, tumezungushwa mpaka tumechoka

    Samahani faili likishafika mahakama kuu inachukua muda gani pesa kuingizwa kwenye account za warithi? Nina watoto wa ndugu yangu washamaliza process wameambiwa faili lishapelekwa mahakama kuu, inakaribia mwezi pesa hazijaingizwa kwenye account zao.
  4. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

    Jua thamani yake kwanza unaweza kuta ni pete za machinga
  5. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Mzungu kasahau kipochi chenye pete. Hivi zinaweza kuwa na thamani gani?

    Nilishakutana nao hao 🤣🤣🤣
  6. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania P Diddy na mabinti zake watatu wakiwa kwenye Venice

    [emoji23] [emoji23] [emoji23]
  7. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Dada aliyekutwa na Corona Tanzania siyo bure

    Kweli kabisa yani huyo mama ana makosa sana,mbona hakwenda nyumbani kwake moja kwa moja? Na nahisi alivyofika airport alishaanza kujisikia vibaya.Alitakiwa ajisalimishe achukuliwe na ambulance apelekwe hospitali.Nashangaa wanaomuona shujaa. Sent using Jamii Forums mobile app
  8. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Nahitaji mkopo wa milioni 8, narejesha milioni 10 ndani ya mwezi

    Haya mambo yashawaliza watu hiyo biashara unayoenda kufanya angalia usijeukalizwa ukabaki na madeni matapeli huwa wanawalenga sana watu wenye mafao,kuna mzee analia mambo hayo hayo. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Tatizo la kupata choo kigumu au kukosa choo kwa muda mrefu (Constipation). Fahamu chanzo na tiba yake

    Kula ndizi hasa ndizi bukoba zenye mchanganyiko wa bamia, bilinganya na nyanya chungu, kiwe chakula chako mara kwa mara,bila kusahau maji kwa wingi. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Mke wangu ameambiwa damu yake ni ndogo sana

    Mchanganyiko wa maziwa fresh yai na asali kiboko. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Moro Town: Mji unaoongoza kwa wajanja Tanzania

    Yap napapata namkumbuka dk Machibya,hostel za Moro Sec na ofisi za Elimu Sent using Jamii Forums mobile app
  12. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Mapokezi yake si mchezo

    Biashara matangazo
  13. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Msaada tafadhari! mududu kaniingia sikioni tangu jana anazingua!

    Weka maji atatoka,mi mwenyewe ishanitokea nikashuriwa niweke maji akatoka baada ya muda mfupi.
  14. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Msaada kuhusu tatizo la mafua

    Mmh umenishitua mkuu dada wangu wa kazi toka mwaka huu uanze anaumwa mafua haponi yaani akipumzika wiki au wiki 2 yaani nonstop
  15. mkudugwa

    JamiiForums Tanzania Vodacom Tanzania: Support thread (Maswali, malalamiko na Ushauri)

    M-pesa ina shida gani jamani? Nanunua vifurushi hela inakatwa siunganishwi
Back
Top Bottom