Vida1
JF-Expert Member
- Jul 6, 2019
- 538
- 1,534
Habari!
Wakuu Nina dharula nahitaji mkopo wa haraka wa takribani milion 8 na nitarejesha million 10 ndani ya mwezi mmoja.
Taratibu za kisheria zitafuatwa ikiwemo kusainisha hati za makubaliano ya kisheria mbele ya wanasheria isitoshe Nina pesa yangu kwenye mfuko wa hifadhi incase nikishindwa kurejesha fao langu laweza taifishwa kufidia mkopo pamoja na other collateral.
Kama Kuna taasisi, Saccos au mtu binafsi nawakaribisha tufanye kazi.
Ushauri wa wapi naweza kusaidiwa suala langu kwa wakati nitaufurahia. Kejeli, vijembe na dharau vitavumiliwa kwa kiasi kikubwa.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app
Wakuu Nina dharula nahitaji mkopo wa haraka wa takribani milion 8 na nitarejesha million 10 ndani ya mwezi mmoja.
Taratibu za kisheria zitafuatwa ikiwemo kusainisha hati za makubaliano ya kisheria mbele ya wanasheria isitoshe Nina pesa yangu kwenye mfuko wa hifadhi incase nikishindwa kurejesha fao langu laweza taifishwa kufidia mkopo pamoja na other collateral.
Kama Kuna taasisi, Saccos au mtu binafsi nawakaribisha tufanye kazi.
Ushauri wa wapi naweza kusaidiwa suala langu kwa wakati nitaufurahia. Kejeli, vijembe na dharau vitavumiliwa kwa kiasi kikubwa.
Asante.
Sent using Jamii Forums mobile app