switch Off
Member
- Oct 30, 2019
- 48
- 186
Mke wangu ni mjamzito wa miezi 6 kuelekea 7. Jana ameenda kupima damu majibu yamekuja ana damu 7.5 na wakasema ni ndogo sana ni hatari kwa maisha yake. Leo amepeleka majibu hayo cliniki, kwanza wameshangaa kuona ana damu 7.5 na hawajaamini kabisa Mwisho wamemuambia akapime sehemu nyingine ili alinganishe majibu ya kipimo hicho. Kama itatokea majibu yamefanana basi ni hatari, na wamemtishia na kumwambia anaweza kupoteza maisha.
Nahitaji kumsaidia jamani. Naombeni ushauri nifanye kitu gani au nimpeleke hospitari gani ili Damu iongezeke kwa haraka.
NB: Kwa sasa ameshaanza kutumia juice ya viazi kwa ajili ya kuongeza damu
Sent using Jamii Forums mobile app
Nahitaji kumsaidia jamani. Naombeni ushauri nifanye kitu gani au nimpeleke hospitari gani ili Damu iongezeke kwa haraka.
NB: Kwa sasa ameshaanza kutumia juice ya viazi kwa ajili ya kuongeza damu
Sent using Jamii Forums mobile app