Recent content by Mkubya

  1. Mkubya

    Nataka nimfanye mpenzi wangu ajisikie kwamba namjali !!!

    Mnunulie ps5, padi mbili na cd ya fifa23 kama ni gamer ata furahi sana
  2. Mkubya

    Historia ya kweli: Tuliowahi 'kula' walimu wetu tujuane hapa

    Ametisha sanaaaaaa....endelea tumesusbcribe kwenye uzi
  3. Mkubya

    Assistant accountant

    Nimesha kutumia mkuu
  4. Mkubya

    Kutoka Posta House: Shirika la posta lafanya transformation, lazindua nembo mpya na mtazamo mpya

    Mimi pia niliwahi ibiwa simu na camera nilituma kupitia hili shirika wezi wamejaa huko ukitaka ibiwa jaribu tumia hili shira mimi laba barua na salary slip ndio zitumwe huko shenzi typu
  5. Mkubya

    TOP 250 MOVIES From Imdb

    Nimeona kama movie 56 hapooo hata hiyo number moja piaa... Naweza kua nimeona zaidi ha hapo ila sikumbuki majina [emoji23][emoji23]
  6. Mkubya

    Jamani hii sasa imekuwa too much, inanikera sana

    ---- wewe hii time nimetumia kusoma huu upuzi wako utailipia ama ?
  7. Mkubya

    Equity bank to be leading bank in Tanzania

    Hiyo benki ya wakenya peleka huko
  8. Mkubya

    Kanikataa, ila anakasirika akiniona na mwanamke mwengine

    Mpatie panado tatu 1x3 atapona lool
  9. Mkubya

    Series (Special thread)

    Hiyo ni best series ever created na game of thrones zi cheki bro u wont be disapointed for spending a min on ur life on it
  10. Mkubya

    Series (Special thread)

    Vikings inachelewa koles but ikikolea ni hatari , am waiting for a new season
  11. Mkubya

    Kwanini wanaume mnapenda kutuzungumzia sana

    Wanawake ni viumbe complecated sanaaa acha tuh ......xo lazma tuwsjadili
  12. Mkubya

    Jux, Kuishi na kusoma China lakini bado mshamba hivyo?

    Ww boya Uganda wametuzidi uchumi toka lini ?? Achaa kuchangia habari usizokua na uhakika nazoo nakwambiaa....!!!
  13. Mkubya

    Jinsi ya kuchagua mtoto wa kike, wa kiume au mapacha soma hapa

    Ure absolutely right huyo alo pita hiyo sijui njia ya mizimu teh teh teh
Back
Top Bottom