Wakuu. Mke wangu anaomba talaka sababu eti mm ni mzinzi. Aliniacha akaenda kuishi kivyake n.a. tayari amezaa. Je katika mazingira kama hayo kesi ya mzingi ikiisha , je naweza fungua kesi ya kuomba fidia kutokana na yeye kuzaa kabla talaka kutolewa?
Je usipohudhuria mara ya kwanza wakati wa kusomewa shitaka kitatokea Nini
UOTE="Petro E. Mselewa, post: 28036059, member: 116264"]Kama ametimiza sharti la kuanzia Baraza la Usuluhishi,atasikilizwa upande wake na uamuzi kutolewa.
Wanajukwaa naomba ushauri wa kisheria. Nilinunua kiwanja kabla ya kuwa n.a. mchumba. Baadae nikapata mchumba lakini kabla hatujafunga ndoa nikawa nimejenga nyumba hadi kiwango cha Renta. Baadae tukafunga ndoa nikaendelea kuimalizia taratibu. Kukatokea mfarakano kwenye ndoa hadi kazaa nje ya nje...
Neno sahihi ni kwamba bwana alitoa na. Bwana ametwaa. Jina lake lihimidiwe. Mungu hujui lolote na hukumu hutolewa siku ya mwisho ya hukumu ambapo wenye haki wataurithi uzima wa milele na waovu wataangamizwa milele
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.