Recent content by Mkorintho wa 6

  1. Mkorintho wa 6

    Mheshimiwa Rais Magufuli Mei mosi hatutaki kusikia haya...

    Sijaona sababu ya kusikiliza maana hotuba inayoendelea ndio ile ile ya mwaka jana pia maamuzi ndio yale yale ya mwaka jana. Tuendelee kuunga mkono juhudi za mh.
  2. Mkorintho wa 6

    Lemutuz Mobimba ni Mgonjwa tumuombee!

    Jamaa pia anakua kimwili lakini kiakili ni kama form 3, mambo mengi ameandika kwa kutafuta sifa Alafu haya mambo ya kujiself kwenye vitanda vya hospital na utu uzima wake ni upuuzi tu alafu ukute anaumwa magonjwa makubwa makubwa lakini kuyapost ndio hawezi kabisa
  3. Mkorintho wa 6

    Utafanya nini Siku unamuona mkuu wa Tume ya uchaguzi anatangaza CCM Imeanguka madarakani

    Kitaitwa kilichowahi kuwa chama tawala, sidhani kama neno upinzani litawafurahisha
  4. Mkorintho wa 6

    Waislam Sri Lanka wanaishi kwa uoga. Jamii huenda ikawatenga baada ya shambulio la makanisa

    Kijana akili zako ziliharibiwa kwa kuangalia nyuchi za wakubwa hii sio akili yako. Umesababisha nikutukane japo sijawahi mtusi mtu pumbavu zako shule zimefunguliwa nenda shuleni likizo imekwisha
  5. Mkorintho wa 6

    Utafanya nini Siku unamuona mkuu wa Tume ya uchaguzi anatangaza CCM Imeanguka madarakani

    Tutasubiri baada ya tukio hilo litafuatia tukio gani zuri au baya maana kuwa shetani ni rahisi kuliko kuwa malaika.
  6. Mkorintho wa 6

    Hili ndilo limbwata la kumteka mwanaume

    [emoji85] [emoji85] [emoji85] kumbe kamati ya chini ni ajira inayopaswa kulipiwa? Mmh kazi ipo, mlipage na kodi sasa
  7. Mkorintho wa 6

    Ni kweli kwamba watumiaji wa ARV wanaweza kufahamika

    Si kila unaloambiwa liko sawa,mengine unadanganywa... Mwili kubonyea inaweza kuwa dalili ya kisukari au figo kufail. Kuna mambo mengi katika afya za wanadamu,sio kila dalili mnasingizia ni ukimwai.Huzingatii lishe bora na bado ukipata hitilafu kidogo unaanza kuwaza H.I.V sio sawa. Ni heri...
  8. Mkorintho wa 6

    Ninadaiwa Tala, Branch na M-pawa. Nisipowalipa watanifanya nini?

    Ukikopa deni kumbuka kulipa,kutofanya hivyo ni zuruma. Umesaidiwa wakati wa shida kwanini usilipe pesa ya watu?
  9. Mkorintho wa 6

    Hili ndilo limbwata la kumteka mwanaume

    Yote haya ni mapenzi ya kuigiza, mimi sihitaji kukumbatiwa sijui kutumiwa mameseji kwamba napendwa kwasababu tumeoana kwakua tunapendana. Tabia za wanawake kuwatumia waume zao meseji za kimahaba ni tabia wanazozitoa kwa marafiki wabaya na zaidi hujifunza hadi vitu vya ovyo. Ukiniheshimu...
  10. Mkorintho wa 6

    Hili ndilo limbwata la kumteka mwanaume

    Wanawake walio wengi wanapenda pesa sana kuliko mapenzi
  11. Mkorintho wa 6

    Zari utamkumbuka Ivan the Don maisha yako yote!

    Waganda wengi wanadanga sana kule sio kwa kuoa, ukimwi uliingia Bukoba TZ ukitokea UGANDA. Wale jamaa ni malaya sana
  12. Mkorintho wa 6

    Wanawake wenye vitambi wamezidi kuongezeka...

    Waheshimu wanawake basi ndugu yangu. Isije ikawa hadi mama yako mzazi ukawa unamuangalia kwa mtazamo huo. Wanawake wametofautiana maumbile, wapo wanaopata matumbo baada ya kujifungua mtoto na kuna wengine vitambi vyao vinatokana na kurithi au lishe. Kama bado hujakua achana na habari za kuoa...
  13. Mkorintho wa 6

    Mwaka wa sita huu UAMSHO wapo ndani hii nchi duuh

    Adhabu ya ugaidi sio kifungo mkuu ni Death penalty
  14. Mkorintho wa 6

    Serikali iingilie kati tamthiliya ya Sultan isitazamwe na watoto, inawaumiza

    Hata wanawake zinawaharibu sana tu ndio maana ndoa hazidumu siku hizi maana wanajifunza upumbavu kwenye movie na tamthilia zenye mauzui ya kishenzi
Back
Top Bottom