matunduizi
JF-Expert Member
- Aug 20, 2018
- 6,586
- 15,368
Nitakata Tiketi ya Bus kwenda nje ya nchi angalau wiki, ili siku serikali mpya inaambishwa nije kuiona Tanzania mpya.
Kabla ya Tanzania mpya kwanza upinzani mpya unaoamini na kuitekeleza demokrasia ndani na nje ya chama. Ulio tayari kukosolewa na kukubali makosa ya kurekebisha.Nitakata Tiketi ya Bus kwenda nje ya nchi angalau wiki, ili siku serikali mpya inaambishwa nije kuiona Tanzania mpya.
mkuu dunia ya sasa sio ile ya wakina Nyerere. Hii mtu analala CCM anaamka Chadema.Sijawahi kuwaza hili, sitowaza hili maana umri nliobakisha kuishi duniani sidhani kama unatosha kuweza kuniwezesha kuja kushuhudia jambo kama hili...jambo hili litawezekana miaka zaid ya 20 ijayo so ukichukua hii 50+ niliyonayo ni wazi kuwa sitokuwapo kwa kuzongatia kuwa umri wa kuishi wa mtanzania haswa wa maisha ya kawaida ni chini ya 70,swali hili nitauliza vijana wangu kisha nitatoa mlejesho wa vijana wa vijana wenye chance ya kuja kushuhudia hilo
mabadiliko ya kuleta wapinzani unaowataka yanaweza kuwa ni phase ya Pili, ila yakitanguliwa na anguko la CCM kubitia kaboxi kadogo ka kura.Kabla ya Tanzania mpya kwanza upinzani mpya unaoamini na kuitekeleza demokrasia ndani na nje ya chama. Ulio tayari kukosolewa na kukubali makosa ya kurekebisha.
mkuu siku akivua tushtuane mara nyingi siangalii television ya taifa, hili tukio la kitaifa linawza kunikosa.Nitavua nguo kama kangi
Tutasubiri baada ya tukio hilo litafuatia tukio gani zuri au baya maana kuwa shetani ni rahisi kuliko kuwa malaika.Nitakata Tiketi ya Bus kwenda nje ya nchi angalau wiki, ili siku serikali mpya inaambishwa nije kuiona Tanzania mpya.
Ni rahisi sana kwa Magufuli kuhamia Chadema ama ACT Wazalendo lakini sio kwa NEC ya Tanzania kutangaza Mshindi kutoka UPINZANI
😂😂😂😂😂mkuu siku akivua tushtuane mara nyingi siangalii television ya taifa, hili tukio la kitaifa linawza kunikosa.