Yaani umeongea utumbo jumlisha ujinga, wewe ni hamnazo, ushasema ni mhadhiri chuo kikuu na alikuwa mjumbe wa bodi ya bot, halafu wauliza ujinga wakati mwingine muwe na heshima mnapo uliza utumbo wenu.
Nimeshindwa kujadiliana na wewe kwa sababu umeshindwa kutoa hoja umekuja na kashfa, ungeliweza kumzunguzia mama Yesu na utakatifu wake ndio ungejua thamani ya khadija. Lakini kwa ukafiri wako umeshindwa kujielewa,baki kuwa kafiri.
Maelezo yako yote ukosea kitu kidogo tu, kuto kujua kuwa waziri ameunda kamati kuchunguza kiini cha lililo tokea na kamati ikaja na majibu ya tukio kwahiyo kama hakuipa ushirikiano ni ujinga wake sio kosa la waziri wala kamati.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.