Recent content by Mkono wa Tembo

  1. M

    Ubora duni wa majibu na hotuba ya Rais wetu

    hii ni aibu sana kwa nchi.ujue human traficking ni issue ya dunia na ni kashfa kubwa sana! rais wetu alipaswa ajue majibu yake hata kabla ya kuulizwa kwani kidiplomasia ni issue iliyojulikana siku nyingi sana!. Anyway kama kawaida yetu tutayeyeusha kibongobongo na itaishia hapo lakini aibu tunayo.
  2. M

    Tasnifu za njano5: CHADEMA na ikome, kelele za mbwa koko zafaani?

    Duh,hatari sana! kama yote yanayotendeka(mabaya) hayaonekani!
  3. M

    Lwakatare Video: Metadata Information Can Easily Reveal Secret

    issue ikiwekwa kitaaluma, safi sana huwezi kubishana na ninaamini kwamba hakutakuwa na mjadala mrefu dhidi ya ukweli huu hapa jf
  4. M

    Maige umekuwa mfuasi wa Shibuda?

    Maige anapaswa kukaa kimya ama maumvi, msabaha na kala maharage alivyofanya wakati uleeee!. Lakini hebu mnijuze kwanza sheria inasemaje kuhusu "mauzo" ya wanyama hai. Je ni prohibited ama kuna mahala kuna upenyo katika sheria zetu na hasa tukizungumzia mauzo ya Tembo, Chui, Faru, twiga, Simba...
  5. M

    Mashahidi kesi ya ubunge Segerea wakiri makosa

    Wakuu, nadhani kweli tunapoteza hela zetu za kodi kuendelea kufuatilia kesi ambayo tayari imeisha. Jimbo jingine ndani ya CDM
  6. M

    Undani wa Freeman Mbowe na Dr Wilbroad Slaa

    Fantastic analysis! BIG UP
  7. M

    Kwanini Mwalimu Nyerere aling'oa reli ya Dar-Lindi, Mtwara, Nachingwea?

    Reli ilikuwa mtwara - masasi na iling'olewa na simba wa Vita mzee, marehemu Rashid Mfaume Kawawa wakati akiwa waziri mkuu. sina kumbukumbu sahihi ni kipi kilichomkasirisha hadi kumshauri mwalimu aing'oe! Hata hivyo mjadala unapoelekea kidini inakuwa ni ujinga mkubwa
  8. M

    Majimbo zaidi ya kumi kufanyika uchaguzi mdogo kabla ya mwaka 2015

    Amedata huyo! Anana naye, hayo madudu waliyofanya wana magamba uchaguzi 2010 ukiamua kuwapeleka mahakamani nchi itakuwa haina rais
  9. M

    Vijana wamejitokeza kidogo njia mpya ya kutaka kuiba kura

    hII NAYO NI MBINU YA KUDHOOFISHA UPINZANI, INABIDI UWEPO UAMSHO MKUBWA KWA VIJANA ILI WASIDANGANYIKE NA ULAGHAI HUO KWANI NCHI HII NI YA VIJANA SIO WAZEE, VIJANA WAKILALA AMA KUWA WAOGA BASI,.... HAKUNA MAENDELEO WALA DEMOKRASIA YA KWELI
  10. M

    Star Times nao wameanza magumashi!

    Aaah,ndio maana hapa kwangu siwapatiiiii! ngoja nimuagize jamaa yangu aje na hiyo dishi niachane kabisa na hawa wachina
  11. M

    GE2010 Lala salama Igunga: Mgombea wa CUF azipiga kavukavu na wanavijiji

    Hao kafu waliishiwa tangu zamani, na walipoamua kuolewa na sisiem ndio kwisha kabisaaa
  12. M

    CV ya John Mnyika

    MAjugu tu, kichwa kimetulia kile,
  13. M

    Msaidieni mke wangu jamani, anateseka.

    Yes, pengine ana jamaa aliyekuwa anampenda mno na alikubali kuolewa nawe kwa hofu ya kutoswa na huyo jamaa wa kwanza. hebu tuambie ulimuoa akiwa na umri gani, kama alikuwa anakaribia 30 au zaidi basi aliolewa ili bora aitwe mke wa mtu!
  14. M

    Msaidieni mke wangu jamani, anateseka.

    Mkuu pole, ongea na the wife wako kwa upole mkiwa nje ya nyumba yenu.... out maana yake, muulize kwa upole ni namna gani anajisikia wakati wa mechi na kipi kifanyike ili ainjoi na tendo, nawe jaribu ku-reflect siku za nyuma ulikuwa unafanyaje mpaka akawa anafika kileleni. Shauri hata kuwaona...
  15. M

    MDAHALO: Tundu Lissu vs Job Ndugai kama ilivyoonyeshwa na Star TV

    Mkuu hii star tv ipi? mbona kwangu ni matangazo ya biashara?
Back
Top Bottom