preta naitwa rugebalila ni mhaya kutoka kwetu kule kwa matajir kagera nina gar langu la v8 nzur sana natembelea full tank ikipungua lita tano naongez
kila nikionana na trafik njian na hajanisimamisha nageuza gar kumuhonga lak maana namuona labda alikuwa na mawazo nilipokuwa napita...
anasema kipi bora kuwa na meno ambayo yamekaa bila formula ovyo ovyo na una kizaz au kuwa na meno yanampangilio mzur na hauna kizaz hiyo imetokeaa baada ya team madam kusema kwann bossylady kila akipga picha anakuwa hatabasamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.