Kariakoo maduka yanawaka moto

Kariakoo maduka yanawaka moto

Muhimu ni kwa wenye maduka kukata bima ya moto hii itawasaidia pindi majanga kama haya yanapotokea.
 
Ni duka moja tu ndiyo limewaka moto mtaa wa Congo jengo la DDC kikosi cha zimamoto wamefika kuzima moto bahati mbaya duka limeteketea lote.
 
Ni duka moja tu ndiyo limewaka moto mtaa wa Congo jengo la DDC kikosi cha zimamoto wamefika kuzima moto bahati mbaya duka limeteketea lote.
Dah...afadhali sana. Maana kwa jinsi taarifa zilivyoletwa nikajua ni kariakoo yote
 
leo ni moto tu huko nigeria mchungaji kampiga mtu kiberiti kwa kigezo cha iman teh teh teh.
 
Kuna watu wanagonga creative accounting hapo, marejesho hayalipiki na mabenki yanaandika maumivu.
 
Chacha Moto ni kati ya majanga ambayo ni hatari sana Mvua ni maji hayawezi zima moto maji ya wale jamaa wa zimamoto yana presure ndio inasaidia kwa kiasi kikubwa kuzima moto..na pia maji yana oxygen kukiwa na moto uliokomaa kidogo ukimwagia ni kama umemwagia mafuta...
 
Back
Top Bottom