Kweli Keren hata mimi kwenye akili sikubaliani nae, kuna wanawake wengi tu mbona vichwa, tena sana tu hata kushinda wanaume, kuna vitu haviiangalii jinsia ukiacha akili ,kuna kipaji pia nk. hivi mtu anazaliwa navyo angalia kwenye mziki kwa mfano jinsia zote mbili zinafanya vizuri, kinachowafanya...