AI Ndio uchawi wangu/(JINI LANGU) linanipa hela bila shida.kila kukicha watu wananiletea kazi kuanzia kuwaandikia expression of interst, project proposals ,concept notes , content za website nk mimi napiga tu hela kimya kimya kwani jini langu hili pendwa(ndagu) linanisaidia kutoa vitu...
mpaka raha safi kabisa ningetamani hata kwenye makanisa ya hawa wanaotupigia makelele ya kanisani nako wangefungua BAR.Hasa kule Tanganyika Packers kwa mwamposa wangeweka vijiwe vya nyama choma kama kwa mrombo ingekuwa poa sana
ila hawa jamaa ni kama mashetani aisee! unajua wanaamini kabisa kuwa wao ndio watoto wateule wa Mungu na lile eneo wanaamini Mungu ndiye aliyewapa. ila mimi kinachonishangaza ile ardhi yenyewe ukiiona ilivyo unashangaa wanagombania nini hivi hawa jamaa wangekuja kupewa ardhi yetu hii ya Tanzania...
Duh huyo ndugu James Mlowe msimamizi kazi anayo. ila huyu mzee aliyemshauri kuandika hivi Mungu anamuoona yaani wote tutakuwa tunakufa tunaziacha mali hivi hivi jamani .Kuna kizazi watakuja kujadiliana na watamuhonga kuanzia huyo msimamizi wa mirathi, mahakama na mzigo ukagawanywa wote na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.