Mikopo Consultant
JF-Expert Member
- Oct 28, 2024
- 2,235
- 4,382
Dawa Biblia tu na kusali Novena
NsyukaKuna nini? mbona kama unakimbizwa na SHUMILETA
Huyu si member wa @JF
Upoje?Walisema Serikali haiamini katika uchawi.
Ila uchawi upo na asikuambie mtu aisee nimeona mwenyewe.
Stroke umedata?Rais Samia kuna watu wananiloga na wanakuchafua wewe.
😆😆😆😆😆😆Kuna nini? mbona kama unakimbizwa na SHUMILETA
Ana power banks za kutosha
lete ushahidi wa uwepo wa uchawi na hao majiniKuna mambo kwa jinsi navyoyaona uchawi upo halafu unatumika na watu ambao hutawadhania ila ni wachawi na wanatumia majini .