Hivi mnabishania nini? Kama hoja ni sperms kuingia kwenye damu iliyoganda ili kuunda kiumbe hebu tuangalie uhalisia, kama wewe ni mwanamke, kabla hujabishana angalia damu yako ya hedhi (ambayo ni yai ambalo halijarutubishwa so linatolewa nje muda wake umepita) je haina mapande ya damu...
Umaskini huanzia kichwani mwa mtu, umepewa wazo si lazima ulichukue lote, mathalani kwenye uzi huu unaweza usifuge ila ukanunua na kukaanga huko mitaani, INALIPA!! Acheni ubishi na muanze kufanyia kazi mawazo ya bure mnayopewa! Inasikitisha ukipitia uzi km huu watu wanavyoleta ujuaji na kukata...
Dah, mitazamo ya kiuoga uoga. Yaani mtu aache kupigania haki yake unamwambia 'acha katafute nyengine', seriously? Hao waalimu waliomaliza vyuo tu hawajapata ajira huko kwenye shule za 'wabongo' wala serikalini wao watapata? Kwa nini mtu ajipangie pangie tu km yuko chumbani na mkewe? Hiyo haina...
Na wale wanaoanza kujenga pale umeona matusi yao? Kila mmoja kainua msingi wa ghorofa, we unaanzia wapi kujenga ya chini 😂! Bado kila anaejenga ana bango la ujenzi kutoka manispaa, haya mwenzangu na mimi atatokea wapi aje kujenga kule? It's obviously kutakuwa kwa kishua tu, sio kwa mi-fensi...
Wazazi msiruhusu watoto wenu wa primary school kuchezea simu zenu haswa kipindi cha likizo au sikukuu km hii ya leo, inaleta usumbufu kwa Great thinkers, period!!!
Pole sana mzazi, lakini kumbuka kwenye kila jaribu au mtihani basi kuna mambo mawili, either ushukuru ama ukufuru! Jitahidi sana kuwa na shukrani kwa mola wako na mara zote angalia wa chini yako na si wajuu yako. Imagine wako unamtuma anaenda, vipi yule Malcom wa Kp (rip) aliyekuwa kalala tu...
Habari zenu wana jamvi. Mimi naomba nichepuke kidogo nje ya mada. Natamani kwenda vacay U.S/ U.K / Canada. Ni familia yenye 4 kids. Swali langu ni njia gani rahisi naweza kuitumia kufika mojawapo kati ya nchi hizo nikimaanisha unafuu wa gharama. Je naweza kwenda tu na nikajitembeza mwenyewe au...
Kama unapenda kuogelea unaweza fika kunduchi 'wet n wild' ni pazuri ku enjoy michezo ya maji kwa rika lote, watoto kwa wakubwa. Km ni mkaka na una vibe la kutosha pale utapapenda, mana wakaka wanaogelea weee, baadae wanawekewa nyimbo zenye mizuka basi wanacheza singeli hapo huku wanalowa na maji...
Ndio mkuu, enzi hizo huyu waziri wa nini sijui, bwana Adolf Mkenda alikuwa anafundisha hapo chuo yeye na mke wake mzambia. Enzi za FASS Night, Five na Mass com, bcom yao ilikuwa inaitwa Managers night sijui, hahahaaa, wa miaka hii sijui hata kama wanaelewa 😁! Mana Fass ikaja kuitwa CASS...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.