Recent content by Mkohoti

  1. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hamna cha kiungo mkabaji wala nini, mabeki hawana akili, yaan wanakaba kama walevi, tunafungwa aina moja ya magoli, ikishapgwa cut back cross basiiii mibeki yooteee yanatangulia mbele yanaacha adui nyuma.
  2. M

    JamiiForums Tanzania Manchester United (Red Devils) | Special Thread

    Aisee nyie ni viazi
  3. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    We mgogo acha ushamba, sasa kuna uspesho gani hapo mpk kelele zote hizi
  4. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Yaani unavyoipamba Arsenal utafikiri bonge moja la team, kumbe mimavii tu. hakuna mpira wowote wa maana kwamba hauna timu ya kushindwa kuwafunga Endelea kuwadanganya wenzio
  5. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    We bwa mdogo akili zako sio nzuri, unasema goli la chelsea ni la set piece? Huwa unawaza mpira unauangaliaga peke yako.
  6. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Wapi hapo kunamtambulisha kuwa ni chelsea fan?
  7. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Vipi aliyewafunga goli la mapema, unamzungumziaje? Kawakataa then kawafunga
  8. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tunamtegemea mchele
  9. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nyie viazi kuleni kabisa chakula cha usiku sahizi,msije mkalala njaa. kwa jinsi tutakavyowashenyeta badae hamtapa hamu ya kula.
  10. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Leo nimekutana na shabiki wa arsenal ambae sio mgonjwa wa akili.
  11. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nyie watu jiandaeni kisaikolojia kabisa, maana kwa kujinyonga nyie hamchelewi, mpuuzeni huyu kichwa maji wenu humu anaewadanganya kila kukicha.
  12. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hii ndio maana halisi ya Nyumbu.
  13. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Na yatima wa wenger wanapata defeat yao ya kwanza kesho.
  14. M

    JamiiForums Tanzania Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Waonee huruma, wanaweza wasilete timu uwanjani.
  15. M

    JamiiForums Tanzania Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Hao akina Madueke na Kunya wakarudi na nini? Hata hao makocha sahivi hawaelewi nini kilitokea wakawaacha ndio mana daily wapo uwanjani kuwatazama.
Back
Top Bottom