Hamna cha kiungo mkabaji wala nini, mabeki hawana akili, yaan wanakaba kama walevi, tunafungwa aina moja ya magoli, ikishapgwa cut back cross basiiii mibeki yooteee yanatangulia mbele yanaacha adui nyuma.
Yaani unavyoipamba Arsenal utafikiri bonge moja la team, kumbe mimavii tu. hakuna mpira wowote wa maana kwamba hauna timu ya kushindwa kuwafunga
Endelea kuwadanganya wenzio
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.