Nasema hivii nyie mkitoka hata na kikombe cha kahawa niitwe jibwa koko.
Bodo kimahesabu mna asilimia 95% yakutoka bila kombe lolote msimu huu. Uefa0%, FA3% , EPL2%
#Ishi nayo
Tuongezeeni pesa kidogo basi.
Nasema hivii nyie ni Ng'ombe wa masikini, wahenga walikua wanawazungumzia Arsenal.
Mkitoka hata na kikombe cha kahawa msimu huu niulizwe mimi.
Nyie wenu mnamfukuza lini? Mwaka wa nane huu anarukaruka tu bila mafanikio yoyote, na msimu huu mnatoka mikono mitupu kama chelsea tu, wala tusichekane.
Ukisikia Popoo mbili zavuka mto ndio hizi sasa *****, ona walivyo na spidi ya konokono kama wanakipande matakoni. Huyo Fofana, Gordon alikua nyuma amepitwa kama senge.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.