Hata kama uzoefu, ila sio kwa henderson!! mchezaji mgumu kama jiwe, alipogeukia ndio huko huko anatoa pass, kwa henderson hapana aisee, huyu Alonso sio kaja kuhakikisha tunaenda championship kweli? Liva special Agent
Gitten ni madueke mtupu hamna kipaji pale tulipigwa, tokea aje chelsea cjawahi kuona perfomance nzuri kutoka kwake, hajui kudrible wala kutoa pasi, cjui hata hayo uliyaonea wapi? tukiendelea kutegemea wachezaji wa hovyo kama hao hata nafasi ya kumi tutaisikia kwenye bomba.
Obsessed vipi tena mjomba?? Tatizo lenu ndio hilo mnapenda kuwaza vitu visivyoeleweka, Mwanzoni mlivyokua mnasema hakuna mchezaji wa chelsea aliyefunga kumbe mlikua obsessed??
Na bahati hiyo hawana viande hawa. wana nux, kuna uwezekano mkubwa sana kwenye kombe la dunia hili bingwa akawa hana Arsenal player, wamenyewa hawa mamaee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.