Recent content by Mkohoti

  1. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Labda abebe mimba ya Epielo.
  2. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nasema hivii nyie mkitoka hata na kikombe cha kahawa niitwe jibwa koko. Bodo kimahesabu mna asilimia 95% yakutoka bila kombe lolote msimu huu. Uefa0%, FA3% , EPL2% #Ishi nayo
  3. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bora kutokucheza huko tutaenda kutia aibu, haya nyie mnaoenda kushiriki si mnaenda kuwakilisha tu.
  4. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Aisee mwamsheni huyu jamaa anakaribia kulimwaga.
  5. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    False hoppers in the one n' two. Mpk UEFA mnalihesabia?! Carabao tu mmechanishwa msamba, Arsenal hivi ni nani kawaroga??
  6. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Nyie mazwa zwa, lini tutaanza kumdiscus huyu jamaa yenu. Mbona niliona kama anarukaruka tu, huyu ndio mnaotuaminisha ni world class?!!!
  7. M

    Arsenal (The Gunners) | Special Thread

    Tuongezeeni pesa kidogo basi. Nasema hivii nyie ni Ng'ombe wa masikini, wahenga walikua wanawazungumzia Arsenal. Mkitoka hata na kikombe cha kahawa msimu huu niulizwe mimi.
  8. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Nyie wenu mnamfukuza lini? Mwaka wa nane huu anarukaruka tu bila mafanikio yoyote, na msimu huu mnatoka mikono mitupu kama chelsea tu, wala tusichekane.
  9. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Huyu ni tapeli mama e
  10. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Bora ziliwarudia, bado za kwamba mnatoka mikono mitupu.
  11. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Sasa mkuu unataka tukwambie akina Saka na Martinell ni world class?!!
  12. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Ukisikia Popoo mbili zavuka mto ndio hizi sasa *****, ona walivyo na spidi ya konokono kama wanakipande matakoni. Huyo Fofana, Gordon alikua nyuma amepitwa kama senge.
  13. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    H2h kwa timu inayofungwa hata na Leeds haiondoi udhaifu wenu. Endeleeni kujifariji na hizo set piece kuwa mna timu.
  14. M

    Chelsea FC (The Blues) | Special Thread

    Tulishindwa kufanya kwa timu dhaifu kama Arsenal kwnye Carabao tena kwa small margin ya magoli.
Back
Top Bottom