Recent content by mkiwamonie

  1. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Kufuta
  2. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Nilekeze mkuu jins ya kupita, naona nashindwa. Samahani
  3. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

  4. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Asante mkuu kwa ushauri wako ni kweli cku hizi mitandao imeshikilia ndoa zetu, yaani kila ki2 tunakianika hii c nzuri. Kwa kweli nami ni mmoja wa wanaopinga sn hl ila nikajikuta tu nipo jf nikiamini kuna ushauri mzuri. Samahanini wapendwa kwa kuwakwaza
  5. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Ukweli huwezi ujua na uongo huwezi ujua ni mpaka yakufike
  6. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Asante ila kwa kua halijakukuta
  7. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Tatizo tumefunga ndoa kanisani
  8. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Hata niliongea nae hatakelezi chchte c umeme wala maji au chakula
  9. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Mpaka 2004 aliniambia anasoma five and six 2010 akasema anachukua diploma ya uhasibu 2016 mpaka sasa akasema anachukua CPA ya uhasibu
  10. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Ni kweli wanangu wanateseka maana kinachopatikana inabidi hichohicho kipikwe
  11. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Nikiongea nae ananiambia cna hela
  12. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Mume wangu hahudumii familia

    Habari wapendwa, Mimi ni mwanamke nilieolewa miaka 17 iliyopita, na tumajaaliwa kupata watoto 3 mkubwa kwa sasa yupo kidato cha nne, lakini kwa muda wote huo nilioishi na mume wangu hakuwahi kuhudumia familia kwa chakula wala chochote ndni kama Baba, pesa yake ni kusoma tu. Mimi nilikua...
  13. M

    JamiiForums Kenya, JamiiForums Tanzania Wanawake huwa tunatamani nini hasa kwa wanaume?

    Kwa kweli wenye vibamia wanapenda utegemezi Sana. Tofauti na wenye shafti, hawa wanabembeleza sn na pia wanajali pale unapokua na tatizo lkn vibamia aah hawakutoshelezi na bd si watoaji
  14. M

    JamiiForums Tanzania Trump: Ninakosa maisha yangu ya zamani.

    Mi mgeni humu mnikaribishe
  15. M

    JamiiForums Tanzania Aliyekuwa Padre Kanisa Katoliki, Privatus Karugendo afunga ndoa!

    Aliekua si padre tena
Back
Top Bottom