Habari wapendwa,
Mimi ni mwanamke nilieolewa miaka 17 iliyopita, na tumajaaliwa kupata watoto 3 mkubwa kwa sasa yupo kidato cha nne, lakini kwa muda wote huo nilioishi na mume wangu hakuwahi kuhudumia familia kwa chakula wala chochote ndni kama Baba, pesa yake ni kusoma tu.
Mimi nilikua...