Alafu kumbe jamaa umetelekeza mke na watoto daa, ndio kidogo narudi nyuma ya post iLi nikujue mtu wa aina gani aise !! Umri huo!! Duuu unA haki ya kuandika huu utumbo
Ati msomi!!! Kiruuuu
Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
Kubishana na mpuuzi km wewe ni kupoteza muda, am off... Naenda piga kazi mimi... We jikombe Kombe uko sisi uku shwari tu boss...
Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
Bora umejigungundua rafiki maana na hivyo vicheko unavyomalizia mwishoni ndio kabisa vinaleta na mashaka mengine juu yako,
Kati ya wale unaofikiriaga kuwa ni mbululaza we tukuite wa ngapi rafiki?
Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
Jamaa kagonga panapo km unafikiri membe na rais wake wameshindwa, wewe na ushauri wako ndio utasaidia nini!? Tupa kule
Km Hakuna kitakachotokea bado Hakuna tatizo kwa mtanzania anayeishi nje .... We bwana endelea kusaka umaharufu tu lakini kuupata kwa style hiyo imekula kwako, we piga mapicha...
Sidhani km una washauri au umeingia kwenye mipasho zaidi, uwa sikuelewi kabisa wee jamaa, ukiniambia ulisoma naona km masihara bwana, lugha yako ni chafu siku zote! Ushauri wako wa vijembe jembe tu, hata km mtu angetamani kushauriwa na wewe ! Bado asingepoteza muda kukusikiliza, hata km...
Jipe moyo mkuu, Mungu atakupa chaguo la moyo wako, wengine tuliwakataa wakiotupenda kwa dhati, kisa hawana kazi za maana miaka hiyo , tukaingia kwenye mikono yenye watu wa kazi za maana, yaliyo tupata uko ndani Mungu ndio anajua, mke mwema au mume mwema utoka kwa bwana sisi wakristo ndio...
Sidhani km kuna udini ila
Ni changamoto tu kujua umpeleke mwanao shule gani na kwanini, weka pembeni dini km kweli unA nia nzuri ya kielimu kwa mwanao, sababu huo ndio Ukweli na haupingiki, ukufumba macho kufikiri madini dini tu, baada ya miaka itakula kwako, angalizo tu
Tukubaliane...
Mataifa ya magharibi wanaziogopa nchi hizo maana ni tajiri kuliko wao, na wao ndio wana tegemea kutoka Kwao, ndio maana kila
Siku wanachofanya ni kuwagombanisha iLi watawala mafuta km Iraq na kwingine, mbona hawapendi siria ? Kwavile Hakuna kitu, stupid hao , hongera Museveni , Kikwete...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.