Recent content by mkimbizi toka tz

  1. mkimbizi toka tz

    Swali kwa wanaosali kwa mama Lwakatare

    Chooni anakunya Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  2. mkimbizi toka tz

    Ombi: Ikulu ipuuze waraka wa Kakobe

    PUMBA za hali ya juu, hazitofauti na ufahamu wako mdogo... Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  3. mkimbizi toka tz

    Dual Citizenship: Watanzania mlio nje mnajitesa na kivuli chenu wenyewe, badilikeni sasa!

    Alafu kumbe jamaa umetelekeza mke na watoto daa, ndio kidogo narudi nyuma ya post iLi nikujue mtu wa aina gani aise !! Umri huo!! Duuu unA haki ya kuandika huu utumbo Ati msomi!!! Kiruuuu Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  4. mkimbizi toka tz

    Dual Citizenship: Watanzania mlio nje mnajitesa na kivuli chenu wenyewe, badilikeni sasa!

    Kubishana na mpuuzi km wewe ni kupoteza muda, am off... Naenda piga kazi mimi... We jikombe Kombe uko sisi uku shwari tu boss... Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  5. mkimbizi toka tz

    Dual Citizenship: Watanzania mlio nje mnajitesa na kivuli chenu wenyewe, badilikeni sasa!

    Bora umejigungundua rafiki maana na hivyo vicheko unavyomalizia mwishoni ndio kabisa vinaleta na mashaka mengine juu yako, Kati ya wale unaofikiriaga kuwa ni mbululaza we tukuite wa ngapi rafiki? Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  6. mkimbizi toka tz

    Dual Citizenship: Watanzania mlio nje mnajitesa na kivuli chenu wenyewe, badilikeni sasa!

    Jamaa kagonga panapo km unafikiri membe na rais wake wameshindwa, wewe na ushauri wako ndio utasaidia nini!? Tupa kule Km Hakuna kitakachotokea bado Hakuna tatizo kwa mtanzania anayeishi nje .... We bwana endelea kusaka umaharufu tu lakini kuupata kwa style hiyo imekula kwako, we piga mapicha...
  7. mkimbizi toka tz

    Dual Citizenship: Watanzania mlio nje mnajitesa na kivuli chenu wenyewe, badilikeni sasa!

    Sidhani km una washauri au umeingia kwenye mipasho zaidi, uwa sikuelewi kabisa wee jamaa, ukiniambia ulisoma naona km masihara bwana, lugha yako ni chafu siku zote! Ushauri wako wa vijembe jembe tu, hata km mtu angetamani kushauriwa na wewe ! Bado asingepoteza muda kukusikiliza, hata km...
  8. mkimbizi toka tz

    Tatizo la kichefuchefu: Fahamu chanzo cha tatizo, viashiria na ushauri juu ya tiba

    Tumia maziwa ya soya nusu saa baada ya kula, tulia, acha kuwazuga hali yako ya kutapika itapotea. Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  9. mkimbizi toka tz

    Kukosa ajira kumenikosesha kuwa na mwanamke nimpendaye

    Jipe moyo mkuu, Mungu atakupa chaguo la moyo wako, wengine tuliwakataa wakiotupenda kwa dhati, kisa hawana kazi za maana miaka hiyo , tukaingia kwenye mikono yenye watu wa kazi za maana, yaliyo tupata uko ndani Mungu ndio anajua, mke mwema au mume mwema utoka kwa bwana sisi wakristo ndio...
  10. mkimbizi toka tz

    10 bora wanafunzi,serikali ni wasindikizaji,shule za kiislam nazo kama za serikali

    Sidhani km kuna udini ila Ni changamoto tu kujua umpeleke mwanao shule gani na kwanini, weka pembeni dini km kweli unA nia nzuri ya kielimu kwa mwanao, sababu huo ndio Ukweli na haupingiki, ukufumba macho kufikiri madini dini tu, baada ya miaka itakula kwako, angalizo tu Tukubaliane...
  11. mkimbizi toka tz

    Marekani kusitisha misaada kwa Uganda

    Mataifa ya magharibi wanaziogopa nchi hizo maana ni tajiri kuliko wao, na wao ndio wana tegemea kutoka Kwao, ndio maana kila Siku wanachofanya ni kuwagombanisha iLi watawala mafuta km Iraq na kwingine, mbona hawapendi siria ? Kwavile Hakuna kitu, stupid hao , hongera Museveni , Kikwete...
  12. mkimbizi toka tz

    Marekani kusitisha misaada kwa Uganda

    Mmmmmh mashaka tele juu yako kaka Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  13. mkimbizi toka tz

    CHADEMA bado mno Kupambana na CCM

    Inakatisha tamaa Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
  14. mkimbizi toka tz

    wakenya waandamana mpaka bungeni

    Safi sana Tukubaliane kutokukubaliana inatoooosha
Back
Top Bottom