Timu za kariakoo ndo zinazotumika ku'push agenda za serikali dhalimu na pongezi nyingi kwa mama yao ilhali mashabiki wao wanapitia hali ngumu ya kukandamizwa na hao wanaopongezwa.
Kuna mashabiki wengi waliofariki siku na baada ya dec 29 wakiwa hadi wamevalia jezi za timu hizo lakini hakuna...
Binafsi sidhani kama tunaweza kumtoa mtawala yeyote kwa kile kinachoitwa maandamano ya amani, kama tunataka serikali mpya ni lazima maandamano yaongezewe intensity yaani kiufupi lazima kiumane kisawasawa na sio maandamano ya amani kama tunavyoyaita
Jamaa ametufunulia mambo mengi sana ya hovyo yanayotokea kwenye nchi, kiufupi nami naunga mkono hoja na Mungu amtunze sana kwenye hiki kipindi kigumu anachopitia
Huyu dogo mnamtetea kwa ujinga waku lakini apunguze kamdomo, yeye sio kwamba anabaguliwa kwa rangi yake hapana ni maisha na maneno yake ya kutokua na heshima nje ya uwanja ndo vinafanya watu waendelee kumchukia siku hadi siku, kuna wachezaji wengi tu weusi ambao wanautwanga fresh tu na...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.