Zitto Kabwe
Kuna watu wanasambaza video kuwa eti nimezomewa #Tunduma .
Sijawahi kufanya mkutano wowote wa kisiasa Mjini Tunduma.
Ni wanasiasa uchwara tu ndio wanaweza kujitekenya na kucheka wenyewe.
Mwenye picha au video yenye kunionyesha dhahiri kuwa nilikuwa Tunduma aweke hadharani...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.