Hv mitihan yao ipoje kwan nami wamenitumia sms ya interview tarehe tano...kwa nafas ya liaison operation trainee..naomba mnijuze wakuu kwan hata sielewi chochote
Mm ni kijana mwenye umri wa miaka 28 sasa nilimaliza elim ya chuo (advanced diploma of accountance)2012 nimetafuta kaz kwa mda mrefu bila mafanikio..please mwenye msaada wowote naomba ani Pm kaz yoyote hata kama c ktk taaluma yangu mm napiga
Mtakufa na chuki zenu hizo nyie makafirii umeshindwa kuvumilia moyon umeamua uweke waz kabisa..kabla ya kuandika hivyo kwa nn hujajiuliza kwamba lile keng'ele lenu linalogongwa kila siku lina kaz gan???au huwa unaendaga kula mkate tuu na kusepa
kila 1 anayechangia mada ana justify upande wake,naomba tusikimbilie kwenye matatizo yanayotokea kwa ss nakusahau wap tulipojikwaa kwan ktk haya mambo yakiroho hamna kundi litakalo admit kuwa lipo wrong bt what i knw ts not bad to do mistake bt da important things z to be manner enough to admit...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.