sindano butu
JF-Expert Member
- Aug 20, 2012
- 503
- 157
Imekuwa ni dhahiri na ni wazi kabisa kuwa sasa Waislamu wanafanya wanalotaka tena kwa kujiamini kabisa.
Hili limeonekana kuanzia harakati za Uamsho znz, Kugomea sensa, kuchoma makanisa nk.
Ni wazi kuwa mambo yanayofanywa na waislamu ingekuwa ni dini nyingine hatua kali zingechukuliwa.
Tumeshuhudia polisi wakivamia makanisa na kukamata watu, kupiga watu, nk lakini sio kwa Waislamu.
Kama ambavyo vyombo vya dola vinaipendelea CCM, ndivyo hivyo vinavyowapendelea Waislamu.
Kanisa mpaka linachomwa moto ! Sijui ikiwa kwa upande wa pili kama patakalika.
View attachment 68265
unataka vita wewe!