Recent content by Mkatavimeo

  1. Mkatavimeo

    Utoaji unavyofanya kazi katika ulimwengu wa roho

    Umeandika kuhusu jambo zito sana, ambalo ni muhimu na la msingi sana kwa maisha ya mwana adamu. Mungu akubariki sana.
  2. Mkatavimeo

    Mvua kubwa na radi jijini Dar es Salaam na Pwani yote. Mtaani kwako kwema?

    Maeneo ya Tegeta mpaka Bagamoyo mvua ni kubwa.[emoji26] Sent using Jamii Forums mobile app
  3. Mkatavimeo

    Kamwe usitamani kuja jiji la Dar es Salaam.!

    Baadhi ya kero za jiji la Dar 1. Makanisa yasiyo na mpangilio maalum yakiambatana na kelele za nyimbo za dini na mapambio. 2. Wingi wa bajaji zisizokuwa na mpangilio maalum wa vituo, zinaendeshwa hovyo/ kihuni/ kihatari na zina makelele ya midundo ya muziki kama ukumbi wa disko. 3. Boda boda...
  4. Mkatavimeo

    Kwanini Puza wa Tambaza alijiua?

    hii game kama kumbukumbu zangu ziko vizuri, ilichezwa 1989. maana naikumbuka vizuri sana na mi nlikuwa mhanga wa kaptura za kaki.
  5. Mkatavimeo

    Tanzania tuna sheria nzuri za mipango miji na mazingira, lakini hakuna kiongozi hata mmoja utamsikia akikemea kero za miziki ya makanisa

    Kuacha makanisa na kumbi za statehe, huku uswazi unakuta kila nyumba wanapiga mziki kila siku mwanzo mwisho yani hakukaliki wala hakulaliki. Ukienda kulalamika kwa mjumbe watu wanakushangaa. Kwa mwenyekiti wa mtaa ndio kabisaaaa, hamna linalofanyika. Na sheria zipo wazi kabisa zinazohusu noise...
  6. Mkatavimeo

    Yaliyojiri siku ya mauaji ya Karume

    Hoja hujibiwa kwa hoja. Sent using Jamii Forums mobile app
  7. Mkatavimeo

    Yaliyojiri siku ya mauaji ya Karume

    Sindikiza na ramani hiyo Sent using Jamii Forums mobile app
  8. Mkatavimeo

    Yaliyojiri siku ya mauaji ya Karume

    Dsm, kisarawe, kilwa, mafia. Sent using Jamii Forums mobile app
  9. Mkatavimeo

    Yaliyojiri siku ya mauaji ya Karume

    Maalim akiwa Rais Znz, kuna hofu kubwa kuwa atarudisha usultani na akirudisha usultan ataamsha harakati za kudai eneo la sultan ambalo liko tanzania bara. Kimsingi hali itakua tete. Sent using Jamii Forums mobile app
  10. Mkatavimeo

    Pierre Liquid afanye hiki ili aweze kuoffer vitu vingi tofauti na slogan yake ya "utabaki kileleni"

    Mi nadhani awe anatoa matangazo yake akiwa tayari ana bia tano kichwani, hapo ndio yatakuwa yamechangamka hayo matangazo, na awe more of himself zaidi ya kuigiza. Sent using Jamii Forums mobile app
  11. Mkatavimeo

    Eagle house imejengwa awamu ipi ya uongozi?

    Tena tulikua tunakatiza ule mtaa huku tunacheza chandimu, tukitokea mafundisho st peters. Hivi lile josho bado lipo pale keepleft/round about? Sent using Jamii Forums mobile app
  12. Mkatavimeo

    Kwa nini wanawake wazuri sana kwa umbo wengi wao hawaolewi??

    Dena mambo? Dah longtime sijakuona humu jamvini.
  13. Mkatavimeo

    Wa kuoa ni aliyeshika dini wengine michosho tu

    Hao walioshika dini ndio balaa kabisa. Jana nimeshuhudia kwa macho yangu jinsi mama mke wa mtu mama ambae ni mama wa kanisa alivyogonganisha wanaume gesti. Ni aibu kubwa sana.
Back
Top Bottom