jpm ni mstaarab sana tena anahuruma sana kwa majizi haya. haiingii akilini mtu uache mshahara wa 35m eti uje ufanye kaz for 3yrs bila mshahara!! eti mzalendo!! halafu utenguliwe uteuzi wako kwa kutumia lugha ya kistaarab tu ya kutopokea mshahara!
halaf jitu linalalamika kwanini limetumbuliwa...
dah me ni mlinzi wa usiku naingia mzigoni saa kumi na mbili jioni natoka saa kumi na mbili asubuhi.
msaada p'se! nipombeke saa ngapi? au ndo basi tena!
sisi kwetu mwizi au kibaka hufukuzwa kwa mawe, marungu na kelele nyingiiii!
sasa mnaotaka rais afukuze mwizi kama sharobaro lazma mnamtatizo ya kufikiri.
Hata January kuna wakati fulan aliwahi sema awamu ya tano inahitaji rais mwenye elements za udikteta. sasa Mungu katupa halaf wengine wanaleta...
the vasco da gama the fisadiz of my kodi and fedha za masikini.
bilion 320 za escrow zingejenga km 320 za barabara kwa kiwango cha lami! but the jizi No 1 & his genge wamekwiba zoooote!! eti leo mtu na akili zake kabsaa anajitoa ufahamu kwa makusudi! eti asante naninani sijuwi! si bure we...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.