Hebu tazama vizuri ulichokiandika halafu muangalie vizuri mgombea wako tehe. Huku kwetu wanasema kwa ccm wameenda kwenye fiester na kwa chadema na ukawa wameenda kusikiliza sela na kikubwa wameshaamua tayari wanasubiri siku tu ifike
Ndugu utakuwa unajifariji tu ccm huu uchaguzi ni magumu kweli kweli mnasomba watu kwa malori muonekane mmejaza uwanja? Da kweli mna hali mbaya sana tukutane 25/10
Ndugu kumbuka kura ni siri ya mtu usimbeze mtu kisa kasema kitu flani na msimamo unaweza kubadilika muda wowote ule kwa sababu ya kusikiliza sera kwa umakini angalizo hizi ni siasa tu.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.