Recent content by mkaga

  1. M

    System aliyoitegemea Lowassa ilivurugwa na Kikwete!

    Ccm wanawewesela tarehe 25 sip please wait acha papala
  2. M

    Ni Saa 144 za Kifo cha CHADEMA

    Ama kweli ccm wanaweweseka
  3. M

    Ninaanza kuwa na chuki na Mzee Mwanakijiji!

    Acha siasa za mihemuko ww
  4. M

    Ninaanza kuwa na chuki na Mzee Mwanakijiji!

    Na john pombe ni nani?
  5. M

    Under NACTE mbona hatuthaminiki

    Nikutie moyo watakuchagua tu ndugu wanafanya kwa hawamu tofauti tofauti
  6. M

    NACTE Imetema, angalieni Profile zenu

    Peruzi kwenye website zao wametoa mwongozo wa namna ya kujaza form
  7. M

    Under NACTE mbona hatuthaminiki

    Bdo hawajafanya selection subiri watakuchagua tu usipate hofu
  8. M

    Mbowe: Dr. Slaa alidai Ukatibu Mkuu unamtosha

    "Alikundangaya" ?? Na umeshadanganywa vingap? Na wanasiasa wewe kura yako mpe pombe na ya kwangu lowassa mabadiliko inatosha
  9. M

    UKAWA wakubali kuchemka

    Hebu tazama vizuri ulichokiandika halafu muangalie vizuri mgombea wako tehe. Huku kwetu wanasema kwa ccm wameenda kwenye fiester na kwa chadema na ukawa wameenda kusikiliza sela na kikubwa wameshaamua tayari wanasubiri siku tu ifike
  10. M

    Lowassa na UKAWA wamesahau kuwa SIASA NI SAYANSI

    Ndugu utakuwa unajifariji tu ccm huu uchaguzi ni magumu kweli kweli mnasomba watu kwa malori muonekane mmejaza uwanja? Da kweli mna hali mbaya sana tukutane 25/10
  11. M

    Askofu Kilaini: Sifa kuu nne za mgombea ambaye atakuwa Rais wa nchi

    Ndugu kumbuka kura ni siri ya mtu usimbeze mtu kisa kasema kitu flani na msimamo unaweza kubadilika muda wowote ule kwa sababu ya kusikiliza sera kwa umakini angalizo hizi ni siasa tu.
  12. M

    Askofu Kilaini: Sifa kuu nne za mgombea ambaye atakuwa Rais wa nchi

    Na siwezi kuchagua kumchagua mtuhumiwa Wa ufisadai Tanzania mf richmond
Back
Top Bottom