UKAWA wakubali kuchemka

UKAWA wakubali kuchemka

Mmmh wana CCM wenzangu tumekamatwa pabaya tuseme kweli ya moyo wetu. Nina kadi yangu CCM na chama changu kina sera nzuri but kwa this time tusahau nchi inaenda kwa upinzani. Ni vizuri kukipigania chama ila sio vizuri kukifia ilihali ni wazi kwamba utendaji wake umezorota kwa kiasi kikubwa hata wananchi wamechoka.

Hivi haiwaingii akilini wazee tuliokula kiapo cha TANU na kulelewa ktk misingi imara ya TANU na CCM ya 1980s leo hii wanatandika daruga na kuondoka au kusema kuwa kadi situpi na kwenye chama siondoki ila kura yangu ni kwa upinzani. Naipenda CCM na sera zake ILA SIKO TAYARI KUENDELEA KUIUZA NCHI YANGU NA KUENDELEA KUONA MNYONGE ANAENDELEA KUNYONYWA KILA SIKU - UKIENDA HOSPITALINI WATU WANALALA CHINI ILA VIONGOZI WA JUU HAWANA HABARI KILA SIKU KWAO NI KAMA SIKUKUU, KARAMU HAZIISHI TENA KARAMU NZITO NA NONO AT EXPENSE OF TAX PAYERS

WHY SHOULD I?

KUWA MWANACHAMA WA CHAMA FULANI HAKUKUZUI KUFANYA MAAMUZI SAHIHI KWA WAKATI SAHIHI.
 
tunahitaji mgonjwa ikulu ili aone tunaumiahe kwa huduma mbovu za afya. kwa sasa pharmacy za hospital za wilaya, hakuna dawa. ukipata hata panadol nne shukuru kweli.

mgonjwa wetu akiwa ikulu atahakikisha kila kitu kiko sawa
 
Lazima washindwe vibaya kuliko walivyotarajia maana hakuna namna sasa
 
Kweli wameshakubali kushindwa
Maana hata babu duni hajichoshi kuzunguka

ratiba inaonyesha leo babu duni angekuwa ruaha jimbo la mikumi
lakin hadi sasa hajatokea
Wananchi wamekasirika sana
Anawaponza wagombea wao wa ukawa wa huku

Naomba nichukue fursa hii kumtangaza mhe dkt john pombe magufuli
Kuwa rais wa awamu ya tano

Wameshikwa vibaya sana, wapewe pole yao ukiwa.
 
Mnajifanya kujaribu propaganda lakini mnapost ujinga usioenda shule, hata mnachoandika ni ujinga na hamueleweki! Ukweli wa UKAWA hata wewe unaujua ndio maana unashinda kupost upuuzi, Yaani tar 25 mtalia na hamtakaa msahau! Maana mpaka hapa rais anajulikana wazi, CCM mwaka huu sijui mtapewa kura na Nani!Mnati huruma.

Vp tarehe haijabadilishwa?..kura za CCM zitatoka kwa wanachama na raia wanaojitambua! na kutafuta mabadiliko bora!
 
Reuters

Hakuna matumaini yeyote ccm tumeichoka na mwisho tarehe 25 ya mwezi huu, mageuzi lazima mfumo mfu hauna jipya tena.Ccm hawana kitu tena cha kuwadanganya watanzania! pole sana kwa komaa na jambo ambalo ni vigumu hata kumuelezea akakuelewa!
 
Last edited by a moderator:
Ongea hoja sijaona cha maana kwenye andiko lako zaidi ya mihemuko uliyonayo.
 
Hebu tazama vizuri ulichokiandika halafu muangalie vizuri mgombea wako tehe. Huku kwetu wanasema kwa ccm wameenda kwenye fiester na kwa chadema na ukawa wameenda kusikiliza sela na kikubwa wameshaamua tayari wanasubiri siku tu ifike
 
Hebu tazama vizuri ulichokiandika halafu muangalie vizuri mgombea wako tehe. Huku kwetu wanasema kwa ccm wameenda kwenye fiester na kwa chadema na ukawa wameenda kusikiliza sela na kikubwa wameshaamua tayari wanasubiri siku tu ifike

Sela ndo nn?
 
Wamekubali kushindwa muda mrefu 2ila wanajifanya vichwa ngumu lakini October co mbali wata2lia 2
 
UKAWA ndio wana miliki rais wa awamu ya tano.
 
waibiwe na nani.. wao wafanye utafiti wa wahuni wangapi wapo tanzania.. ndio kura zao... wenye busara hatuwezi mpigia.... kashashindwa
 
Back
Top Bottom