Msaada nasikia nacte wametoa majina ya bachelor lakini nikicheki kwenye profile yangu hakuna mabadiliko au ni kwasababu niliupdate Mara ya mwisho tarehe 28/09/15 SAA 14:00hrs na je waliopata ni waina gani na je watatoa tena majina mengine?
mm wamenichagua teku ndo ipo wapi wajameni?
Ni kweli.mimi nimeangalia profile yangu hakuna k2 kama hcho,na hayo majina kwenye website ya nacte hawajaweka,hv kama k2 ni serious kwanin wasiweke majina?hii thread ina ukwel wowote?
hi,jamani naombeni mnipe utaratibu wa kuomba chuo kupitia TCU na NECTA kwa form six na wengine pia,thanks
jaman kwa m2 alomalza dip a.t.c kuenda bachlor mkopo anapata?