georgemwaipungu
JF-Expert Member
- Jul 7, 2015
- 2,779
- 589
Hii inafikirisha juu ya nani hasa wa kuitoa ccm madarakani!
Utajua tarehe 25 nani anaingia Ikulu.
Hii inafikirisha juu ya nani hasa wa kuitoa ccm madarakani!
Wewe unaleta ushabiki sasa!
Sasa si ufurahi kimya kimya ?unamweleza nani na kwa nia gani?mkubali msikubali CCM Tz haijapata Kuwa na upinzani wa kiwango hiki tangu uchaguzi wa vyama vingi.Hadi sasa CCM hawana uhakika wa kushinda Ndo maana wanatengeneza goli la mkono.Jiulize wanaogopa nini watu wakikaa Mita 200?Hata wakiponea chupu chupu ha watakuwa na Kiburi cha madaraka tena.Lowassa kawapa funzo hawatakaa wasahau.Mungu akisimamia upande wa haki hakuna binadamu wa kupinga.Viva Lowassa viva.
Nakubaliana na mantiki yako ya lowassa kuleta upinzani kwa ccm just like Mrema na ninakubaliana na mantiki yako ya kwamba ccm imefunzwa adabu kwa tishio feki!
Lakini kuna issue ya Upinzani kuvurugika na kuanza upya kwa kuwa umewekeza kwa lowassa kama lowasa lakini haujaweza kumtumia lowasa kuchukua viti vingi vya ubunge...wabunge wa chadema wako hoi katika kampeni majimboni.
Alaafu mkiachwa mnalalamika-sasa wewe kwa upuuzi huu,mumeo unaampa unyumba saa ngapi???Anna Mgwira wa ACT? Don think so!
Makongoro Mahanga bado ni waziri au?
Ni ukweli usiopingika kuwa lowasa ameanza harakati za kuusaka urais muda mrefu pengine toka 1995.
Mwaka 2005 akimsindikiza kikwete lowassa alijiwekea mizizi au tuseme alitengeneza mtandao ambao ulimuingiza kikwete madarakani na kumfanya yeye kuwa waziri mkuu.
Baada ya kutemwa uwaziri mkuu system ya lowassa iliendelea kuwa madarakani kwa muda mfupi kabla ya JK kuanza kuivuruga na kuisambaratisha kabisa.
Mpaka tunafika 2015 JK alifanikiwa kabisa kuiondoa system ya lowassa serikalini.
Nadhani alifanya hivi kwa maandalizi ya kumkata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi ndani ya ccm pengine kwa maelekezo maalum
Chadema na Team lowassa wamedanganyika na kile kilichoitwa nguvu ya waziri mkuu bila kujua ilishafutiliwa mbali.
Wengi wa wakurugenzi na wakuu wa taasisi ambao waliwekwa na lowassa walishatemwa siku nyingi.
MaDC na MaRC loyal kwa lowassa walishatemwa siku nyingi.
Kwa hiyo ile nguvu ya mamba baharini haipo kwani bahari ilishakaushwa.
Kwa sasa lowassa amebakia na usanii tu kuaminisha watu kuwa ana mahusiano na system kumbe hamna kitu ni maigizo tu.
Hili laweza thibitishwa na kauli kinzani kutoka UKAWA...Mbowe anasema lindeni kura wakati lowassa alisema pigeni kura na kazi ya kuzilinda aachiwe.hizi ni sentensi mbili kinzani kutoka katika taasisi moja.
Vijana wanapaswa kutambua lowassa hana influence yoyote kwenye chama au serikali kwa sasa....makapi ya lowassa yako nje na yanajaribu kurudi ndani ili kuweka mirija ya kula hela zetu tu.
Im so disappointed with Chadema baada ya kuuvaa mkenge huu wa kihuni ambao unaenda kuirudisha nyuma miaka 20.
Wafikirie waliohamia Chadema au Ukawa na uhusiano wao na CCM au serikali in the past 5years ndio utanielewa.
Kwa sasa Chadema wajikite katika kampeni za ubunge zaidi ili kuokoa jahazi..operesheni ya siku nne...mission impossible!
iwe kweli iwe uongo hatutoki kwenye lengo kuu la kuiondoa CCM madarakani
Umeandika kama una haki miliki ya Tanzania.F.Y.I Hata JK hana haki miliki,na mbaya zaidi anaweza kuvuruga kila mfumo,lakini hawezi kufuta mahaba waliyonayo Watanzania katika mioyo yao!!Kwa kuwa JK alivuruga mfumo uliomweka akidhani anamkomoa ENL anajikuta amekumbatia mzinga wa nyuki!!..LOWASSA ANATOSHA.
Lawrance Masha alishatemwa kitambo!
Sumaye hakuwa na ubavu kwa merry Nagu
Kingunge aliwekwa pembeni!
Wewe mpuuzi kweli
Sidhani kama Lowasa anategemea wahuni wa system bali anategemea nguvu ya umma
Unataka kutuaminisha kuwa MAGUFULI anategemea SYSTEM nawe unashangilia kwa hilo hivi kweli una akili. Kuwa mzalendo acha upumbavu, unafikiri magufuli akipita atakupa nn? Hupati chochote