Mh!huyo mke sasa.Hata kama ndo pombe zimemzeesha na Ka umri pia kameenda.Hela ya pombe wanatoa wapi sasa.Huyo dada si auze hata maandazi mtaani au mboga mboga.
Wangu siku moja nimekaa jikoni napika,ananiuliza mama shetani anaumia ee? Nikamwambia kwann akasema si hii nyumba yote imemkandamza si ulisema shetani anakaa chini.Ilibidi Tu niseme ndiyo.
Nakumkumbuka dada Mwajuma huyu tulikaa nae Hadi akaenda kuolewa akitokea kwetu.Ana familia yake sasa Japo sijaonana nae muda mrefu Sana.
Kuna hawa wengine sijui wako wapi sasa Zawiya,Eliza,.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.