Recent content by mkabasia

  1. mkabasia

    Chid Benz: Sikuwa nahisi chochote, nilikuwa nina sumu mwilini

    Amenenepa Sana,ni kama bado hajakaa Sawa.Namshauri aanze kufanya detox kutoa hizo sumu mwilini.
  2. mkabasia

    Kijana Emmanuel aliyemwaga chozi akilalamika kuwa amesoma Electronic Engineering lakini hapati kazi leo amemtambulisha mke wake

    Mh!huyo mke sasa.Hata kama ndo pombe zimemzeesha na Ka umri pia kameenda.Hela ya pombe wanatoa wapi sasa.Huyo dada si auze hata maandazi mtaani au mboga mboga.
  3. mkabasia

    Eti wanawake; ni kwanini mwanaume akishinda nyumbani vitu huwa vinaisha ndani?

    Upo we dada,siku nyingi sijaona mwandiko wako humu.😀😀
  4. mkabasia

    Uzi wa vyakula tu

    Ukiamua inawezaekana kabisa.Ila asubuhi ungepata kachai kaviungo Bila sukari Kwanza kabla ya juice ingependeza.
  5. mkabasia

    Ulishawahi kuulizwa swali gani na mwanao ukakosa jibu?

    Wangu siku moja nimekaa jikoni napika,ananiuliza mama shetani anaumia ee? Nikamwambia kwann akasema si hii nyumba yote imemkandamza si ulisema shetani anakaa chini.Ilibidi Tu niseme ndiyo.
  6. mkabasia

    Kati ya Samaki hawa wapi watamu zaidi?

    Binafsi samaki no.1 kwangu Sato akifatiwa na Sangara.Wengine ni baadhi hawa wa baharini wengi sijui majina Yao.
  7. mkabasia

    Umeshawahi kujiuliza Msichana wenu wa kazi 'wa Miaka hiyo' yuko wapi?

    Nakumkumbuka dada Mwajuma huyu tulikaa nae Hadi akaenda kuolewa akitokea kwetu.Ana familia yake sasa Japo sijaonana nae muda mrefu Sana. Kuna hawa wengine sijui wako wapi sasa Zawiya,Eliza,.
  8. mkabasia

    Wazazi, acheni kuwapost watoto wenu wachanga mtandaoni

    Zamani ziliwekwa kwenye album mpk uende nyumbani ndo unaziona hivi sasa zinakufika ulipo Bila kwenda kwa mzazi.Hiyo ndo teknlojia.
  9. mkabasia

    GE2025 Wananchi wakutana kushangilia kifo cha Ndugai!

    Maisha haya,Mariam Ditopile nilisoma nae advance.Wanakondoa hawamtaki.
  10. mkabasia

    Taarifa ya Kifo cha Job Ndugai: Aliyekuwa Spika wa Bunge la Tanzania Afariki Dunia

    Apumzike kwa amani,kweli kifo ni fumbo kubwa Sana.
Back
Top Bottom