Recent content by mkabasia

  1. mkabasia

    JamiiForums Tanzania TANZIA Mume wa Rais Samia, Hafidh Ameir, afariki Dunia

    Apumzike kwa Amani.Pole kwa raisi kumpoteza mume.
  2. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Rafiki yangu anawaza kuvunja ndoa, lakini nyumba yake alijenga kwenye kiwanja cha wakwe, afanye nini?

    Ila nyie.Kwa hapo mmemaliza kumshauri mwanandoa😀😀
  3. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Kwa nini nyama choma nyingi bongo ni ngumu sana?

    Mi huwa namwambia kabisa hakikisha nyama yako imeiva vzr ndo utuletee mezani la si na hivyo nimwambia sitokulipa ikiwa ngumu. Juzi Kati nlienda kwenye harusi,aisee Yule mchomaji wao wa nyama nampa ten over ten.Nyama ilikua laini Hadi Raha,plus ladha.
  4. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Muonekano wa msanii Maua Sama wazua gumzo, mimba iheshimiwe, Wema ana mwili mzuri hata akunenepa uso

    Watu ambacho wanashindwa kujua,ni kwamba Kila mtu anatofauti katika mimba.Binafsi nkiwa mjamzito hakuna sehemu yoyote ya mwili wangu inayovimba zaidi ya tumbo.Sipati alama yoyote usoni kiasi kwamba ningekua mtu famous nako mimba yangu ingeanzishiwa debates 😀😀
  5. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Alijidai fundi jikoni, akaaibika mbele ya wageni wake. Umewahi pika chakula kibaya?

    Hahahaha.Hakikua chakula.
  6. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Kwaherini JF

    Mungu akutie nguvu,kama ulikua unasali embu ongeza maombi zaidi.Mkumbushe Mungu mema uliyowahi yafanya.Fuatilia tiba unazopewa na amini utakuja hapa na ushuhuda mwingine.
  7. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Punguza Kula,punguza Kula.Kwangu hii inafanya kazi.Nikitoka uzazi huwa nakua mnene Sana,wanaonifahamu sio Siri huwa hawaogopi kunishangaa nilivonenepa.Ila baada ya muda Naanza kupunguza chakula mwili unarudi.Mfano Jan nlikua na kg 73 now 66.Nskuhakikishia mpk Dec ntakua na 60au 58 hizi ndo kg...
  8. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Mimi pia niliwahi Fanya hivo.Sijui kwanini mtu anaemia haiwezi.
  9. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Hapa umenikumbusha kipindi naenda kuriport form five tulikua na mdada mmoja alikua na umbo kubwa Sana mw.akampa shampoo akijua ni mzazi.
  10. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Huyu ni Wema Sepetu?

    Mama olii.Umri unaenda muonekano pia unaenda.
  11. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Relax,relax.Kama ulishaenda hosp we na mwenzi wako mpo fit relax.Wakati utakaokuwa hutarajii unashangaa Tu imo.Wala usianze kuhesabu trh za ovulation wala nn.
  12. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Hahahaha mbona Zinduna.Mtoto wa bahati bukuku.
  13. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Juzi nimeshuhudia kwa mara ya kwanza.
  14. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Unakutana na changamoto gani katika biashara / kazi inayoifanya sasa?

    Nimeiona hili na mimi.
Back
Top Bottom