Punguza Kula,punguza Kula.Kwangu hii inafanya kazi.Nikitoka uzazi huwa nakua mnene Sana,wanaonifahamu sio Siri huwa hawaogopi kunishangaa nilivonenepa.Ila baada ya muda Naanza kupunguza chakula mwili unarudi.Mfano Jan nlikua na kg 73 now 66.Nskuhakikishia mpk Dec ntakua na 60au 58 hizi ndo kg...
Relax,relax.Kama ulishaenda hosp we na mwenzi wako mpo fit relax.Wakati utakaokuwa hutarajii unashangaa Tu imo.Wala usianze kuhesabu trh za ovulation wala nn.
Huyu ni aunt yangu anapenda bia lakini sio mlevi.Tangu tunakua anakunywaga bia sijawahi kuskia amegombana na mme wake kisa pombe.Swala la muhimu ni kuwa na kiasi.Binafsi nakunywa na haijawahi kuwa kikwazo kwa mme tangu anioe.
Sijawahi kutumia kitanzi,tangu niingie ndoani ni mwendo wa kalenda.Sasa hivi nawaza kubadilisha njia maana mwaka Jana kalenda ilinibetray,sijui nn kilitokea ila nnachojua nalea sasa.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.