Recent content by mkabasia

  1. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Good old days

    Punguza Kula,punguza Kula.Kwangu hii inafanya kazi.Nikitoka uzazi huwa nakua mnene Sana,wanaonifahamu sio Siri huwa hawaogopi kunishangaa nilivonenepa.Ila baada ya muda Naanza kupunguza chakula mwili unarudi.Mfano Jan nlikua na kg 73 now 66.Nskuhakikishia mpk Dec ntakua na 60au 58 hizi ndo kg...
  2. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Hapo mtaani kwako wangapi mnatumia JF?

    Mimi pia niliwahi Fanya hivo.Sijui kwanini mtu anaemia haiwezi.
  3. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Mnakumbuka tukio la majambazi kuvamia Pugu Secondary mwaka 2003?

    Hapa umenikumbusha kipindi naenda kuriport form five tulikua na mdada mmoja alikua na umbo kubwa Sana mw.akampa shampoo akijua ni mzazi.
  4. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Huyu ni Wema Sepetu?

    Mama olii.Umri unaenda muonekano pia unaenda.
  5. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Relax,relax.Kama ulishaenda hosp we na mwenzi wako mpo fit relax.Wakati utakaokuwa hutarajii unashangaa Tu imo.Wala usianze kuhesabu trh za ovulation wala nn.
  6. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Kumbe kutafuta mtoto sio KAZI nyepesi

    Hahahaha mbona Zinduna.Mtoto wa bahati bukuku.
  7. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Vituko mitandaoni. Tupia chako

    Juzi nimeshuhudia kwa mara ya kwanza.
  8. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Unakutana na changamoto gani katika biashara / kazi inayoifanya sasa?

    Nimeiona hili na mimi.
  9. mkabasia

    JamiiForums Tanzania TANZIA MwanaJF mwenzetu Bishop Hiluka aliyekuwa amelazwa Muhimbili, Amefariki Dunia

    Tunamuombea kwa Mungu uponyaji wa haraka.
  10. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Bei ya mafuta imeshuka Kwa Tsh 96/= pekee, uzalendo Kwa nchi hii utatokea wapi?

    Tuambie ukweli ndugu.
  11. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Wanaume Wenzangu mnawezaje kudeal na wanawake walevi?

    Huyu ni aunt yangu anapenda bia lakini sio mlevi.Tangu tunakua anakunywaga bia sijawahi kuskia amegombana na mme wake kisa pombe.Swala la muhimu ni kuwa na kiasi.Binafsi nakunywa na haijawahi kuwa kikwazo kwa mme tangu anioe.
  12. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Kipi chakula chako pendwa?

    Ndizi nyama,wali maharage.
  13. mkabasia

    JamiiForums Tanzania Wanawake wenzangu wenye vitanzi (IUD), mnaendeleaje?

    Sijawahi kutumia kitanzi,tangu niingie ndoani ni mwendo wa kalenda.Sasa hivi nawaza kubadilisha njia maana mwaka Jana kalenda ilinibetray,sijui nn kilitokea ila nnachojua nalea sasa.
Back
Top Bottom