Recent content by mkabasia

  1. mkabasia

    Nakasirika kila mara mke wangu ananiambia ananipenda. Kuna haja gani sasa?

    Imagine anaesema hivo ni mume wa Mtu.
  2. mkabasia

    Ugali ni mlo hatari kwa Watanzania, ndio ukweli usiosemwa

    Hivi kumbe ugali ni chakula cha wasokua na pesa.
  3. mkabasia

    JF Story: Fair Game

    Mi pia.Nimefika mwisho nikaangalia juu tena sio Lara huyu.Kidogo wafanane uandishi.Hii Id ni mpya au mi ndo mgenii???
  4. mkabasia

    Ni biashara gani ambayo huelewi faida wanapata vipi?

    Inategemeana ,ukinunua kuanzia dozen 10 hizi chupi za kawaida ni chini ya 9000.Kama kuna mzunguko mbona faida ipo Tu.
  5. mkabasia

    Tangu waizime WhatsApp GB huduma ya WhatsApp imepoteza mvuto

    We ni mwenzangu,Jana nimeiona SMS Yao wakinitaka nidownload official wasap,nikaipuuza.Itachukua muda gani kutoa baada ya kutumia SMS.Binafsi hii ndo wasap yangu pendwa.
  6. mkabasia

    Shehe: Profesa Janabi anataka kutuua, atatuvunjia ndoa

    Za kuambiwa changanya na zako.
  7. mkabasia

    Tunawezaje kupunguza gharama za ufugaji wa kuku ili kuongeza faida

    Asante kwa ushauri.Nimenunua juzi vifaranga20kama shamba darasa.Nahisi kuputia hawa ntajifunza mengi.
  8. mkabasia

    Nikisafiri kwenda sehemu sipendi kufikia kwa Mtu

    Serious?mazingira yote hupendi kushukuru au ugenini Tu?
  9. mkabasia

    Nikisafiri kwenda sehemu sipendi kufikia kwa Mtu

    Hahahaha,kwa hiyo walikua hawagombanii chumbani kwao?Pole.
  10. mkabasia

    Naweza vipi kukabiliana na hali ya kujisikia hatia (guilty conscience)?

    Na sasa unajiita mvinyo mpya.Naona bado hujavaa utu mpya.
  11. mkabasia

    GB whatsap ndo nataka kupigwa ban

    Mi mwenyewe natumia hiyo GB wasap sitamani kutoka.Shida ni nini wanazuia isitumike?
  12. mkabasia

    Mavazi ya mwanamke Mcha Mungu kwa kipindi hiki cha mfungo wa Ramadhani pamoja na Kwaresma

    Vigezo vya kuiona mbingu ni vingi jamani.Kwenye mavazi hapa nahisi ntaiona nchi ya ahadi ileee,af sitoingia[emoji24][emoji24]
  13. mkabasia

    Nakuwa na maamuzi ya kusitasita kuolewa tena tangu ndoa ya kwanza inishinde 2021

    Ma mchungaji hapa umenichekesha,akitaka kumuona shetani live afunge ndoa.
  14. mkabasia

    Ruvuma: Watu 9 wafariki baada ya Gari yao kusombwa na Maji

    Pole nyingi kwa familia zao kuondokewa na wapendwa wao.
  15. mkabasia

    Kwenye biashara usiogope majina makubwa yaliyokutangulia; Hill water, mabasi ya Tilisho ni somo kubwa la kuingia sokoni ukiwa mpya

    Haya maji nikiwa Arusha au Kilimanjaro ndo ntayanunua huku Dsm siyanywi yanakua mabaya sijui kwann.
Back
Top Bottom