Recent content by mjusikenge

  1. mjusikenge

    Natamani kufanya naye mapenzi ila hanielewi

    Acha upuuuzi wewe dogo......skia mwambie unataka mfanye mapenzi...akikataa tu.......mwambie apite hivii....afu kula tinted .....kwanza mademu kibaoo!
  2. mjusikenge

    Mbinu mpya za kuingiza katika joto la chumba cha kulala

    mkuu!!Mara kuingiza joto,Mara vitabu....yaani hat sijaelewa
  3. mjusikenge

    Jeshi la Kujenga Taifa (JKT) limetangaza nafasi za kujiunga na mafunzo kwa wakujitolea, 2017

    ñ hivi mkuu unaandika barua ambayo inaonesha Kuwa we ñ RAIA wa Tanzania ....barua hio ñ lazima ipitishwe na mwnyekiti wa mtaa na kwa mtendaji kata ukiwa umeambatanisha vivuli vya vyeti vyako....baada ya hapo unaipeleka kwenye ofis ya wilaya unamkabidhi mshauri wa mgambo wa mkoa
  4. mjusikenge

    Duniani kuna mengi sikutegemea hili kunipata

    pole mkuu...nimejiskia vibaya sanaa
  5. mjusikenge

    natafuta tuition ya kufundisha/au wanafunzi waliotayari

    mkuu mtoto hajazaliwa bado!!
  6. mjusikenge

    natafuta tuition ya kufundisha/au wanafunzi waliotayari

    Wakuu mm!! n mwanafunzi wa chuo kikuu Dodoma naingia mwaka wa 3.....nasomea ualimu katk masomo ya physics na maths....nahitaji wanafunzi wa kuwasaidia kwa malipo ya kawaida sana...Kwa wazazi/walezi walio makini...naomba msiniangushe....ahsanteni kwa ushirikiano wenu..napatikana...
  7. mjusikenge

    Zijue faida za Mmea wa Mlonge, Jitibu magonjwa 300 kwa kutumia mlonge

    ndo maana msonge wetu......umeisha....kumbe ni dili??
  8. mjusikenge

    Nimeoa leo tarehe

    tupiamo na tupicha bhasi
  9. mjusikenge

    Msaada: Kati ya BA with Education DUCE na BA in Special needs UDOM

    kwa udom utasoma psychology hadi ukome!!!!
Back
Top Bottom