ñ hivi mkuu unaandika barua ambayo inaonesha Kuwa we ñ RAIA wa Tanzania ....barua hio ñ lazima ipitishwe na mwnyekiti wa mtaa na kwa mtendaji kata ukiwa umeambatanisha vivuli vya vyeti vyako....baada ya hapo unaipeleka kwenye ofis ya wilaya unamkabidhi mshauri wa mgambo wa mkoa
Wakuu mm!! n mwanafunzi wa chuo kikuu Dodoma naingia mwaka wa 3.....nasomea ualimu katk masomo ya physics na maths....nahitaji wanafunzi wa kuwasaidia kwa malipo ya kawaida sana...Kwa wazazi/walezi walio makini...naomba msiniangushe....ahsanteni kwa ushirikiano wenu..napatikana...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.