Msaada: Kati ya BA with Education DUCE na BA in Special needs UDOM

Msaada: Kati ya BA with Education DUCE na BA in Special needs UDOM

Akasome special needs .. likija suala la ajira hawako wengi compared to hao wa baed.. pia kama ataajiriwa na serikali lazima atapangwa katika center za miji maana shule zenye kuaccomodate wanafunzi wenye special needs ziko katika town centers na nyingi ni kubwa..

Zaidi ana fursa zaidi ya kupata ushiriki wa kwenye tafiti na workshop mbalimbali compared na wahitimu wa baed..

KWA HIYO AENDE KWENYE SPECIAL NEEDS EDUCATION KUNA MICHEPUKO MINGI YA FURSA COMPARED NA BAED..
 
Akasome special needs .. likija suala la ajira hawako wengi compared to hao wa baed.. pia kama ataajiriwa na serikali lazima atapangwa katika center za miji maana shule zenye kuaccomodate wanafunzi wenye special needs ziko katika town centers na nyingi ni kubwa.. zaidi ana fursa zaidi ya kupata ushiriki wa kwenye tafiti na workshop mbalimbali compared na wahitimu wa baed..
KWA HIYO AENDE KWENYE SPECIAL NEEDS EDUCATION KUNA MICHEPUKO MINGI YA FURSA COMPARED NA BAED..
Asante kwa ushauri
 
aje tuu DUCE.....
.
.
kama ataenda hiyo special needs akagangamale kweli.. maana inahitajika roho ya kipekee kwny reality, kufundisha watoto/vijana wenye walemavu ustahimilivu wa nguvu unahitajika though utapewa mbinu mbalimbali ambazo utakabiliana nazo lkn haitatosha...
.
.
BAED at the end ni kuwa mwalimu wa kawaida tuu na kwa sasa ajira ndo hvo tena lkn still idadi yao haipungui....
DUCE fresher's wako 1000+
MAIN CAMPUS fresher's wako 1000+
MUCE fresher's wako 1000
.
kwhy atajipima mwnyw hapo, ila akuje tuu DUCE kwasababu still UD and UDOM itabaki UDOM
 
aje tuu DUCE.....
.
.
kama ataenda hiyo special needs akagangamale kweli.. maana inahitajika roho ya kipekee kwny reality, kufundisha watoto/vijana wenye walemavu ustahimilivu wa nguvu unahitajika though utapewa mbinu mbalimbali ambazo utakabiliana nazo lkn haitatosha...
.
.
BAED at the end ni kuwa mwalimu wa kawaida tuu na kwa sasa ajira ndo hvo tena lkn still idadi yao haipungui....
DUCE fresher's wako 1000+
MAIN CAMPUS fresher's wako 1000+
MUCE fresher's wako 1000
.
kwhy atajipima mwnyw hapo, ila akuje tuu DUCE kwasababu still UD and UDOM itabaki UDOM
Asante kwa ushauri
 
Jamani nimechaguliwa b of arts in economics siifaam nilitaka education Kuna anaefaham msaada plz
 
Akasome special needs .. likija suala la ajira hawako wengi compared to hao wa baed.. pia kama ataajiriwa na serikali lazima atapangwa katika center za miji maana shule zenye kuaccomodate wanafunzi wenye special needs ziko katika town centers na nyingi ni kubwa..

Zaidi ana fursa zaidi ya kupata ushiriki wa kwenye tafiti na workshop mbalimbali compared na wahitimu wa baed..

KWA HIYO AENDE KWENYE SPECIAL NEEDS EDUCATION KUNA MICHEPUKO MINGI YA FURSA COMPARED NA BAED..
sio kweli kwamba shule za watu wenye mahitaji maalum ziko mjin for other case sawa!
 
Wakuu naomba msaada mtu kachaguliwa hizo program na vyuo tajwa,ipi yenye tija zaidi baada ya kumaliza kwa kipindi hiki?
Hyo ya Udom in Bachelor of Education in special needs na DUCE ni Bachelor of arts with Education.
Special needa ni nzuri sana mkuu..utakuwa mwalimu lakini utakuwa pia translator wa mambo mbalimbali mfano radio,
Wakuu naomba msaada mtu kachaguliwa hizo program na vyuo tajwa,ipi yenye tija zaidi baada ya kumaliza kwa kipindi hiki?
Hyo ya Udom in Bachelor of Education in special needs na DUCE ni Bachelor of arts with Education.
 
Back
Top Bottom