Recent content by Mjukuu wa mama

  1. Mjukuu wa mama

    Serikali yatangaza Amri ya Bei Elekezi za Sukari Tanzania Bara

    Nimetoka kununua hapa 4200 au utekelezaji wa bei bado
  2. Mjukuu wa mama

    Looh! Nimeambiwa kuchuma chai kg 1 sh 300 bora nirudi nyumbani

    Kwa hiyo kuna namna mkuu inafanyika
  3. Mjukuu wa mama

    Hiki ni kinywaji gani?

    Sehemu za ngara na viunga vyake nyingi sana ,wanatumia kama soda tu.
  4. Mjukuu wa mama

    Maisha yako ni kama siti kwenye bus

    Nipo kati tena ya katikati
  5. Mjukuu wa mama

    Naomba ushauri, mke kanitoroka

    matatizo yamekukimbia
  6. Mjukuu wa mama

    Niko njia panda katika maamuzi yangu na wazazi wangu, wanataka nijiendeleze kielimu

    Hili pia nilijaribu kumueleza ,lakin mzee akasema hiyo ni MEMKWA haikufikishi popote
  7. Mjukuu wa mama

    Niko njia panda katika maamuzi yangu na wazazi wangu, wanataka nijiendeleze kielimu

    Mwaka huu sijaomba kabisa ,maana nilikua sina mpango wa kurudi shule ,shida inakuja upande wa wazazi
  8. Mjukuu wa mama

    Niko njia panda katika maamuzi yangu na wazazi wangu, wanataka nijiendeleze kielimu

    Habari wanaJf, mimi ni kijana niliyehitimu kidato cha sita mwaka 2021 katika tahasusi ya HGL, baadae nikaanza biashara yangu ya mpesa, mwaka huo sikuomba chuo kutokana na matatizo ya kifamilia. Mwaka jana nikaomba chuo course ya sheria ila nikakosa mkopo, nikaamua kujikita kwenye biashara...
Back
Top Bottom