Amimu H Abdallah
Member
- Nov 23, 2022
- 57
- 64
Tangawizi
Labda ulitaka maoni ya watu ambao wameshaitumia. Lakini ungeanza na google kwanza…Wakuu Najua humu ni zaidi ya Google,hiki kinywaji nimekutananacho sehem nikashindwa kujua,karibuni kwa msaada pleaseView attachment 2842599
Sehemu za ngara na viunga vyake nyingi sana ,wanatumia kama soda tu.Wakuu Najua humu ni zaidi ya Google,hiki kinywaji nimekutananacho sehem nikashindwa kujua,karibuni kwa msaada pleaseView attachment 2842599
mkuu ungekuwa karibu ningekuachia chupa moja ukasimlie hukoMkuu inaonekana unaijua vizur, balaa kiaje
Ndo ushasema hivyo..!!Kuna watu watakuja kukuambia hicho ni kinywaji kwa ajili ya kuongeza nguvu za kiume.