Red black
JF-Expert Member
- Nov 29, 2019
- 11,925
- 36,840
๐๐jamaa yuko serious๐ ๐ ๐ ๐ ๐
hiyo stori ni chai ujue
๐๐jamaa yuko serious๐ ๐ ๐ ๐ ๐
hiyo stori ni chai ujue
Nna wasiwasi keshatengenezwa mtoa mada, sijajua anataka evidence gan Apo"Sina shaka sana na kuchepuka kwa kuwa hana tabia kama hiyo"
Sawa mkuu![]()

tunza kibundaKishapata wa kumuoa, we tafuta mwingine ukae nae miaka miwili, endelea hivyo hivyo miaka miwili miwili, kwani una cha kupoteza? Halafu wanaume nasikia hamkui wala kuzeeka na mna hela kwahiyo tunza kibunda. Na nasikia wanaume mnaweza kupata mwanamke "yeyote" muda wowote ๐คฃ
Kikubwa tu mtumie msg mwambie aache wizi, mlokole gani mwizi? Atachomwa moto.
,๐๐
Uyo Ni kibaka,Hapo mbona kama hamna Mke Mkuu.
safi, NAKAZIA kwake kupitia kwakotunza kibunda
point
We jamaa kwa kuvaa uhusika haujambo kbsa๐Acha uongo ww๐ค๐คhachepuki? Mi nimeanza kumla kitambo tu na hv ulivoondoka nlimshikisha ukuta napiga mapigo ya mwanaukome nlikuwa namslap huku namwambia mtukane mumeo....... anyway nikimruhusu atakuja mwenyw ngoja nimle mpaka nimkinai
Na wewe torokaHabari wana Jamiiforums
Nilisafiri kwa muda wa siku kama 35 nikaenda Morogoro kufanya kazi, baada ya kukaa siku kama 30 nilirudi nyumbani ghafla kwenda kumsurprise mke wangu maana nilikuwa nimemmiss, nilipofika nilipigwa na butwaa baada ya kugundua kahamisha nguo zake, viatu, vyombo na kila kitu alichonunua yeye pale ndani na kabakiza vitu vichache sana.
Basi baada ya kumuuliza vitu vyake viko wapi amesema amevipeleka kwa rafiki yake ambae mim simjui. Baada ya kukosa maelezo ya kutosha niliondoka nyumbani na kurudi jioni nikakuta kabeba kila kitu kaondoka. Baada ya kufuatilia nikajua ameenda kanisani kwenye semina.
Hakurejea kabisa nyumbani na kwa muda wa siku 3 hapatikani kwenye simu na wala sikujua yuko wapi, hata wazazi wake pia hawajui.
Baada ya siku tatu akaanza kupatikana kwenye simu yake ndio akaitwa kwa wazazi akaenda na kusema ameamua tu kuondoka maana ameona hatujafunga ndoa na tumekaa miaka 2 hivyo amechoka kuzini anataka amrudie Mungu wake.
Ni kweli ndoa hatujafunga lakini taratibu za kiafrika zimefuatwa. Sina shaka sana na kuchepuka kwa kuwa hana tabia kama hiyo. Kiukweli nimepata stress sana.
Mpaka sasa sielewi nini cha kufanya.
Naombeni ushauri
Hapa jamaa alikuwa anajipa tu moyo ๐"Sina shaka sana na kuchepuka kwa kuwa hana tabia kama hiyo"
Sawa mkuu๐
Baba, kila kitu kina mwisho. Hata mapenzi na mahusiano pia yanaishaga.Habari wana Jamiiforums
Nilisafiri kwa muda wa siku kama 35 nikaenda Morogoro kufanya kazi, baada ya kukaa siku kama 30 nilirudi nyumbani ghafla kwenda kumsurprise mke wangu maana nilikuwa nimemmiss, nilipofika nilipigwa na butwaa baada ya kugundua kahamisha nguo zake, viatu, vyombo na kila kitu alichonunua yeye pale ndani na kabakiza vitu vichache sana.
Basi baada ya kumuuliza vitu vyake viko wapi amesema amevipeleka kwa rafiki yake ambae mim simjui. Baada ya kukosa maelezo ya kutosha niliondoka nyumbani na kurudi jioni nikakuta kabeba kila kitu kaondoka. Baada ya kufuatilia nikajua ameenda kanisani kwenye semina.
Hakurejea kabisa nyumbani na kwa muda wa siku 3 hapatikani kwenye simu na wala sikujua yuko wapi, hata wazazi wake pia hawajui.
Baada ya siku tatu akaanza kupatikana kwenye simu yake ndio akaitwa kwa wazazi akaenda na kusema ameamua tu kuondoka maana ameona hatujafunga ndoa na tumekaa miaka 2 hivyo amechoka kuzini anataka amrudie Mungu wake.
Ni kweli ndoa hatujafunga lakini taratibu za kiafrika zimefuatwa. Sina shaka sana na kuchepuka kwa kuwa hana tabia kama hiyo. Kiukweli nimepata stress sana.
Mpaka sasa sielewi nini cha kufanya.
Naombeni ushauri
Mahari ndo ndoa? Kama unamhitaji kafunge naye ndoa,acha kumpotezea muda.Mahari ishalipwa taratibu zetu za kiafrika imeshafanyika siishi nae ile sogea tuishi