Baba ana nguvu sana kuliko mama! Mama anaushawishi tu. Ukisoma biblia vizuri utakuta baraka za Mungu kwa watoto, zimepitia kwa baba zao na si mama. Hivyo basi kwa ufupi tu, hata laana, ya mama haipo kabisa. Laana baba ndie anaweza kutoa vile vile na baraka pia.
Siku hizi tunatishana sana eti...
Kwa hiyo nafasi haihitaji mbwembwe hizo. Kikubwa uwe mjuzi wa kuandaa report kuhusu business inayofanywa. Na hapa unakua bega kwa bega na territory managers
Mimi sijashangazwa na hiyo picha, nikawaza tu, kwa mfano mitaani tunaona ombaomba na kweli wanauhitaji kabisa baadhi yao. Ukaamua kumchukua huyo ombaomba na kumtoa lunch kali hotelini, ukapiga nae picha then zikarushwa mitandaoni. Naamini watu waliowahi kumchangia wakimuona pale hotelini...
Serikali ina mambo mengi sana ya kuwafanyia wananchi kwa ajili ya kuleta maendeleo. Kufanya vitu vidogovidogo visivyo na msingi ni kupoteza muda. Kweli unaweza kufatilia zaidi ya watu milioni kumi na tano waliopo mitandaoni!!?
Sent using Jamii Forums mobile app
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.