Tajiri Tanzanite
JF-Expert Member
- Oct 23, 2016
- 3,010
- 5,681
Hapo vip!!
Nimejaribu kuangalia katika watoto wa wafamilia moja, huwa wivu huinuka kwa watoto wanaopendwa kwa kiasi na Baba dhidi ya wale watoto wanaopendwa Sana na baba. Hii tofauti na upendo wa mama kwa baadhi ya watoto, huwa hakuna chuki na wivu.
Mfano tumuangalie Yusuph kwenye Biblia, angalia pia issue ya Kaani na Abel..
Hili lipo wazi pia katika familia za kawaida tu, juzi kule mara tumeshuhudia huko mkoa wa mara mtu akimuuwa mdogo wake wakiume kisa anapendwa na Baba.
Sijawahi kusikia mtoto amemuuwa mwenzake eti kwasababu mama anampenda Sana, hata katika vitabu takatifu hakuna. Nasio kama mama yupo neutral no, ni wazi kuna watoto mama anawapenda zaidi ya wengine.
Nimejaribu kuangalia katika watoto wa wafamilia moja, huwa wivu huinuka kwa watoto wanaopendwa kwa kiasi na Baba dhidi ya wale watoto wanaopendwa Sana na baba. Hii tofauti na upendo wa mama kwa baadhi ya watoto, huwa hakuna chuki na wivu.
Mfano tumuangalie Yusuph kwenye Biblia, angalia pia issue ya Kaani na Abel..
Hili lipo wazi pia katika familia za kawaida tu, juzi kule mara tumeshuhudia huko mkoa wa mara mtu akimuuwa mdogo wake wakiume kisa anapendwa na Baba.
Sijawahi kusikia mtoto amemuuwa mwenzake eti kwasababu mama anampenda Sana, hata katika vitabu takatifu hakuna. Nasio kama mama yupo neutral no, ni wazi kuna watoto mama anawapenda zaidi ya wengine.