Nimeitwa kwenye interview vodacom

Nimeitwa kwenye interview vodacom

U have a point. Thats why nimemwambia angesoma kwanza tangazo.. wanataka mtu wa aina gani.
Mkuu wote mpo sahihi sema inabidi uangalie vizuri wanataka sofa gani na scope of work au roles za mtu wanaye mtaka ktk tangazo la kazi.

Kuna wanaemtaka Business analyst ambae ni aluesomea masomo ya biashara zaidi na kuna wanaemtaka aliesomea na kuiva ktk masomo ya ICT/IT.

By the way nimewahi kuitwa kwenye interview ya Business Analyst ambayo walitaka mtu wa IT pure, maswali yote yalikuwa mwanzo mwisho ni mambo ya IT kama System Analysis and Design, Project management, Systems Analysis n.k.

Tangazo lao lilieleza wazi wanataka mtu wa IT related field.

Pia kila siku tunaona matangazo ya kazi za Business Analyst ambae description zote zinahitaji mtu aliesomea masomo ya biashara sio IT.
 
Have been business analyst n i still am BA there so kama unabisha endelea but seems to me u knw nothing about business analyst
Watu mkiona neno business tu mnaona kama ni commerce na bookeeping eeh?for your information business intelligence,businness analysis,data analysis,data wharehouse and the co ..zote code tu baba ts all about OLAP and OLTp kama imewah kusikia so nasisitiza the guy has to knw either of these programming languages pythone au R
Hutaki kuamini haya gud luck
Sijakubishia mkuu. Tunapeana experience tu mkuu
 
Kusoma nchi za wenzetu sio kigezo cha Kujua lugha ya malikia maana unaweza Kuwa ulisoma urusi au nchi Za kaarabu au france au latin america ambako nako lugha inasumbua. Lakini hapa hapa kuna watu hasa hasa Hawa watoto wa school bus wanatema yai ni hatari. Mwisho baadhi ya kazi zitahitaji basic english na skills kwa wingi

Acha wivu

Wengi nyie mjiongeze mitandaoni.. kakuambia wapi aliona tangazo.. hata shukurani huna.
 
Watoto wa siku hizi mna matatizo hivi ulichoquote umekielewa kweli? By the way mimi sitafuti kazi jf ni sehemu yangu ya kupumzika na kuona kinachoendelea mtaani. Mwenyewe tumeelewana vzr kabisa..... Walio tanua goli wameleta mafuuriko
Acha wivu

Wengi nyie mjiongeze mitandaoni.. kakuambia wapi aliona tangazo.. hata shukurani huna.
 
😁😁😁 voda wenyewe wapo humu, wanakuchek tu unavyoleta mbwembwe
 
Kazi yako itakua kuandaa report kwa ajili ya mabosi zako wa Zone utakayopelekwa. Ujue sana MS excell na Powerpoint
 
Mkuu mda mwingine huwa mnajikosesha opportunity hivi hivi maana wewe kama umeweza Ku post humu sidhani kama ungeshindwa hata kuingia Google ukaangalia hyo position kwa utulivu inakuaje na ukaelewa tu kuliko hapa.Point yngu ni kuwa hapa duniani bwana kuna watu ambao masikio yao ni dhambi kubwa kusikia vitu kama ivyo maana akickia tu umeharibikiwa,it means GUNDU

NB:Jaribu kuficha mambo yako ambyo yanakuweka katika position flan kama hyo yan pga chin chin ukifanikiwa at least ndo waweza kushare na wadau!!

Ushauri wa maana huu sana mkuu.
 
Have been business analyst n i still am BA there so kama unabisha endelea but seems to me u knw nothing about business analyst
Watu mkiona neno business tu mnaona kama ni commerce na bookeeping eeh?for your information business intelligence,businness analysis,data analysis,data wharehouse and the co ..zote code tu baba ts all about OLAP and OLTp kama imewah kusikia so nasisitiza the guy has to knw either of these programming languages pythone au R
Hutaki kuamini haya gud luck
Kwa hiyo nafasi haihitaji mbwembwe hizo. Kikubwa uwe mjuzi wa kuandaa report kuhusu business inayofanywa. Na hapa unakua bega kwa bega na territory managers
 
Yeah. Sio mambo ya IT. ni mambo ya product and market analysis, financial planning, budgeting and forecasting, commerce performance evaluation. Ila sio mbaya katoa ushauri pia


Kaa humu humu ndo issue yenyewe usidanganywe !
 
kwa business analyst excel unapiga vizur tu but ukiwa unajua mambo ya code kama vba,r,python
na tool kama tableau,qlik power bi IBM bi ingekuwa poa. halafu usisahau kujua sql. excel tu itakusumbu koz kuna reporet nyingine kuandaa lazima uwe unajua programming.
excel limits yake iko kwenye amount of data to analyse lets say umepewa data za toka mwaka 1800 mpaka 2019 uzianalyse dah lazima uchemke but all in all kama wenyewe wamehitaji excel but basi poa coz najua mambo ya data science,big data,AI na artificial intellligence bado ni mageni kwa organisation nyingi
 
Wakuu kama kichwa cha habari kinavyosema. Nimeitwa kwenye interview ya vodacom. Position ya Business Analyst (BA). Mwenye ABC's ya interview za vodacom ya hiyo postion anijuze
anamaana telephone operator
 
Jiandae vizuri, muombe Mungu then nenda kapambane boss..baya masuala sijui ya mtoto wa kigogo achana nayo. Nenda na Mungu, kama ipo basi ipo tu
 
Back
Top Bottom