Ndugu Amani na iwe kenu.
Kwa wazoefu wa kuuza/ kununua, waashi na wahandisi wa majengo, naomba kujuzwa bei elekekezi kwa vifaa tajwa hapo chini
1. Mfuko wa Cement
2. Nondo (12Mm)
3. Nondo (16 Mm)
4. Tofali za kuanzia msingi (Ngumu)
5. Tofali za ukuta
6. Tipa la mchanga
7. Tipa la Mawe
8. Tipa...
Habari ya humu ndani wandugu
Sina uhakika kama hili ni jukwaaa maalum kwa ajili ya shida yang ila sijaona jukwaa husika.
Ombi langu ni kupata soft copy ya Katekisimu ya Kanisa Katoliki. Kwa mwenye uwezo wa kunisaida tafadhali.
Natanguliza shukrani zangu za dhati.
Tumsifu Yesu Kristu 🙏
Kulikua na haja gani ya kusema unaacha muziki wa kidunia na unamrudia muumba, hlf sasa hv unasema unarudi mjini. Kwani kwa Mungu ulikokua umeenda ni kijijini?
Akili kidogoo na Ujinga robota
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.