Phillipo Bukililo
JF-Expert Member
- Dec 29, 2015
- 18,488
- 13,608
Kaacha heshima kubwa alikuwa jasiri asiyeogopa mtu wala kijitu. Mzungu alitoka kwao Canada kwa ajili ya kukutana nae pale ikulu, alikuwa na guts za kipekee, alisema makontena ya dhahabu hayataondoka mpaka tukubaliane vingine na ikawa hivyo.Ulikuwa ni uoga + ujinga + unafiki for survival.
Sasa hivi utapata tabu sana kuwapata hata kule mlikokuwa mnakutana kwa ajili ya mapambio, kusifu na kuabudu.