Recent content by Mjenda Chilo

  1. M

    KERO Maji hayatoki Kimara karibu mwezi sasa. DAWASA shida nini?

    Hali ya maji katika eneo linalohudumiwa na kituo cha Kimara ni mbaya Sana. Maji hayatoki katika baadhi ya maeneo karibu mwezi sasa. Hakuna taarifa yeyote inayotolewa. Viongozi wetu wa juu nao kwasasa naona kimya kabisa, zile amsha amsha hazipo. Basi mtupe hata taarifa tatizo ni nini na maji...
  2. M

    Aliyempa Hayati Rais Magufuli zawadi ya jogoo atua na jogoo wa Waziri Bashungwa bungeni

    Kalipa nauli mwenyewe mpaka Dodoma au anaishi Dodoma?
  3. M

    Yuko wapi Lulu Ibrahim, Miss Kinondoni 2009 na aligombea Miss Tanzania 2009?

    Yuko wapi Lulu Ibrahim, Miss Kinondoni 2009 na aligombea Miss Tanzania 2009?
  4. M

    Nimeoa single mama

    Kweli mtalaka hatongozwi ila hamna namna, fuata moyo wako maana hata fresh kama hana misimamo nae anamegwa
  5. M

    MSAADA: Hilda Phoya wa Azam TV ameolewa?

    Kumekuchaa kumekuchaa
  6. M

    Mdogo wa mke wangu (binti) amenidharau na kunitukana mbele ya mke wangu

    Wewe ni mnyonge sana, kwa tabia hizo huwezi toboa
  7. M

    Mwigulu kuwa makini. Tozo zitakuharibia malengo ya kuwa Rais

    Yani Mwigulu awe rais? Acheni utani aisee
  8. M

    Naomba kujua kodi za kuagiza gari used na mpya

    Ingia website TRA ingiza details za gari utapata ushuru elekezi
  9. M

    Natafuta mume (rafiki na msiri wangu)

    Njoo chumbani tuyajenge.
  10. M

    Mwanafunzi aumizwa vibaya baada ya kuchapwa fimbo 20 na walimu 6 Jangwani Sekondari

    Wewe ni mpuuzi na huenda ndo huyo mwanafunzi mwenyewe. Fimbo 20 kidogo kwa katoto ka F.3 kukutwa ama kuhisiwa kuwa na simu.
  11. M

    Hii pisi mazee ni hatari

    Sana, mitoto mingine ni hasara tupu
Back
Top Bottom