Mtandao wa WhatsApp haupatikani hewani kwa muda

Sildenafil Citrate

JF-Expert Member
Jan 29, 2021
573
2,553
Watumiaji wengi wa mtandao wa WhatsApp wameripoti kushindwa kutuma wala kupokea ujumbe wowote asubuhi hii.

8B67CFCB-EBE0-4D26-88EB-0847FCF0D4C3.jpeg

Kwa mujibu wa Downdetector, zaidi ya watu 12000 wameripoti uwepo wa tatizo hili hadi kufikia mida ya saa 4:30 asubuhi.

Hata hivyo, hakuna taarifa yoyote rasmi iliyotolewa na Kampuni ya Meta yenye kuthibitisha au kukanusha kuhusu uwepo wa changamoto hii.

Kwako hali ipoje?
 
Nlikua nahangaika kucheck whatsap ya workmate hapa ndo tunaona Millard ameposti narud na kwangu haifanyi kazi
 
Mtandao wa Whatsapp umeripotiwa kushindwa kufanya kazi kwa baadhi ya watumiaji leo Oktoba 25 kuanzia Majira ya Saa 4 Asubuhi

Ingawa hadi sasa hakuna jibu rasmi au uthibitisho kutoka kwa WhatsApp Watumiaji kutoka nchi mbalimbali ikiwemo Tanzania wameripoti kwamba hawawezi kutuma au kupokea ujumbe kwenye Mtandao huo isipokuwa kwa wanaotumia WhatsApp kwenye kompyuta.
 
India ina watu bilioni 1.3 kuelekea point 4 na wana sikukuu yao ya Diwali. Na bado jana Rishi Sunak Mhindi kawa Waziri Mkuu wa Uingereza. Ilitarajiwa leo WhatsApp itakuwa chini, wazoefu wa internet traffic walisema nami kuna sehemu nilisoma jana
 
Back
Top Bottom