Sildenafil Citrate
JF-Expert Member
- Jan 29, 2021
- 573
- 2,553
Watumiaji wengi wa mtandao wa WhatsApp wameripoti kushindwa kutuma wala kupokea ujumbe wowote asubuhi hii.
Kwa mujibu wa Downdetector, zaidi ya watu 12000 wameripoti uwepo wa tatizo hili hadi kufikia mida ya saa 4:30 asubuhi.
Hata hivyo, hakuna taarifa yoyote rasmi iliyotolewa na Kampuni ya Meta yenye kuthibitisha au kukanusha kuhusu uwepo wa changamoto hii.
Kwako hali ipoje?
Kwa mujibu wa Downdetector, zaidi ya watu 12000 wameripoti uwepo wa tatizo hili hadi kufikia mida ya saa 4:30 asubuhi.
Hata hivyo, hakuna taarifa yoyote rasmi iliyotolewa na Kampuni ya Meta yenye kuthibitisha au kukanusha kuhusu uwepo wa changamoto hii.
Kwako hali ipoje?